Hivi wakuu huu ukata ni mimi nausikilizia pekee yangu au hata nyie mnameza mate yenu wenyewe?

Hivi wakuu huu ukata ni mimi nausikilizia pekee yangu au hata nyie mnameza mate yenu wenyewe?

Hutojuta kama ukitambiua kusudi la Mungu kwenye maisha yako
Na kuishi ndani ya Kusudi la Mungu
Utafika mbali sana
056A5107-EBC6-4839-A37C-8E1EA4187776.jpeg
 
Bora tuanze barter system tu/mali kwa mali.Nina kitanda 2 kwa 6 tubadilishane na debe la mtama.
NB:Mama ametufikia na hatumdai.
 
Back
Top Bottom