NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,398
- Thread starter
- #141
aisee mamito pole sana kwa hayo
cha kufanya hebu tafuta wazee na ukoo wenu mkae mjadili na mmumwambie maisha ya ndoa yalivyo asidhani ni pipi kwenye ndoa kuna mengi ataweazaje kumlea mtoto wa watu huku hana kitu yaani ajishughulishi yeye mwenyewe ni mtegemezi kwenu ongeeni naye uenda kashalishwa ukubwa anataka kulenga na nazi yake nzima sijui kama ataiweza huyo
kingine nendeni kwa watumishi wa Mungu yaani mchungaji wako wewe na mumeo na huyo kijana akapate ushauri toka kule asiharakishe kuoa kwani kupo ataoa tu cha muhimu ajipange maisha kwanza na namna atakavyoweza kukaa na binti wa wa watu aisidhani kuoa ni masuala ya kitandani tu la hasha ni masuala mbalimbali ya maisha yako huko atuulize siye tuliopo kwenye ndoa tutamwambia mambo yakoje.
Ahsante shosti ntajitahidi kufanya hivyo.....