Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Sikujua Kama dunianii kuna watu wema Kama wewe.babangu alifariki nikiwa na miaka mitatu.mama akamfuata miaka Saba iliyofuatia.at the age of ten ilibidi niishi na ndugu ambao walinichukia Sana.nashukuru mungu sa hivi najitegemea.sikupata malezi mema.nashangaa huyu kijana pamoja na kufanyia yote hayo anakudharau...nadhani itabidi ukate usaidizi wako kwa mda ili aamke kutoka huo usingizi Wa ujinga

Pole sana, Unajua huyu kijana Sio kama namtetea ila nikijana mzuri Sanaaaa ndio mana najitahidi arudi Kwenye akili Yake ukionana nae utasema ame husudiwa ananipenda sanaaaaaa anajua wapi nimemtoa na hushukuru kila mara lakini imefikia kipindi ananiliza...
 
Jitahidi kumshauri pia onana na huyo girlfriend wake. Kwa umri huo, anatafuta matatizo. Nafikiri anahitaji miaka 6-10 kufikiria suala la kuoa otherwise hizo ni dalili za divorce za kesho kutwa tu.
Nilipiga cm kutaka kuongea na mzazi wa huyo binti kaongea mpaka nikashanga yani anasema yanayo khusu na yasio khusu.
 
...kaonja asali sasa anataka kuchonga mzinga...

Naona kijana anataka kulala nayo akidhani waliooa wanafaidi kumbe wapi.....one day nilikutana na kijana moja nae akaanza michapo iyo iyo oooh bro nyie mliioa mnafaidi sana, mara ooh kila siku mnajisevia tu me nikamwambia amini amini nakuambia leo nilikuwa bize sana na kazi nimechoka mwili na akili pia lkn nikifika home shemeji yako atataka haki ni sioni namna ya kukataa sababu nina muda sijampa haki yake.....kwa iyo wakati mwingine sio raha ni shida kubwa
 
Duuh kutokana na ishu ya dada hapa nimekumbuka huu msemo "At the ages of the twenty the will reigns,at the thirty the wit,at the fourty is the judgement"....
 
uyooo umemdekeza akajisahau kama ana shidaa piaa uyo msichana aliyempata ana mchanganya mim nakushaur kama great thinker Wa milele..wewe mpe mahitaj muhimu tu kama school fees na msos afu vingine muachie yeye kidogo kwa muda fulan ataona maisha yalivo alafu uone kama atasema tena anataka kuoaa
 
Inawezekana kapata wa Tanga huyo na kalimbwata kaonjeshwa. Acha waoane ila ni vizuri ukamweleza kwamba hapo nyumbani akishaoa asiwaze kuja kuishi na mkewe, kwa ada endelea kulipa. Pole HAJAJITAMBUA HUYO!!!! Hata hivyo anaoa lakini atapelekwa pelekwa sana na huyo mke, inaonekana huyo ni first lover wake limbukeni huyo. wana akililia wembe mpe mama, ukishamkata kesho ukimwambia ACCCCCCHHHHHHA, atakuelewa.:yo:
 
huyo kijana kwa kuwa akaula bure

anakunya.a bure

kukojoa bure

hospital bureee

anadhani kuoa ni kupiga k tu

ingekuwa mimi kiroho saaaaafi kabisa ningemuita....na kumwambia kwa kuwa keshakuwa mtu mzima mpaka anadhani anaweza kumiliki mke....ina maana ana uwezo.... kuanzia sasa ruksa kuoa...ila kabla hajaoa...ahame kwangu....ada ajilipie...... akiumwa ajiuguze...msosi ajitegemee...halafu awaite akiwa anaenda kutoa mahari...

nitampa sapoti yote ila awe nje yapaa la nyumba yangu

mkataa pema pabaya pamamuita
 
Nilipiga cm kutaka kuongea na mzazi wa huyo binti kaongea mpaka nikashanga yani anasema yanayo khusu na yasio khusu.
Mrejesho unahitajika. Je katika hili ulifanikiwa kumfanya kijana wako afuate ushauri wako?
 
Nimdogo sana he is just 21 anaoa nini? kazi hana analishwa anavishwa pesa ya matumizi pia anapewa huyo ni mumekweli?
huyo mtoto ana wadudu kichwani yani watu tuna kazi nzuri mwaka wa nne sasa na 28 yrs marafk wameoa bt bado naona sjachelewa najpanga cz ukishaoa kulea ndio shughuli ....muulize huyo kijana anajua kua kuna kujenga...kutafta usafiri..kusaidia wadogo zake kielimu ili wasiwe dependant kwake ktk maisha baadaye..na anajua ada ya medium school ni m 3 kwa mwaka na anajua ukwen atatakiwa kutoa support kukiwa na tatzo huyo dogo naona anabalee vbaya...mama najua unachofeel pambana nae uskate tamaa kikubwa mume wako asmame kama mwanaume na kama mzazi aseme hakuna kuoa full stop...aktaka kuoa akatafte mahari anakojua na harus ajigharamie cz huyo kijana na huyo anayetaka kumuoa wote ni wapumbavu na inaonekana bnti ndye msemaji wa mwsho kwa kfupi anampelekesha huyo dogo.........ilishawah kunitokea last year mimi ni frst born mdogo wangu wa mwsho wa kiume yupo frst year alpomaliza dploma alitaka kuacha kuendelea na chuo et anataka kwenda jeshi wakat ada nalipa mimi na kaka yake analipiwa na wazazi...nikamwambia kama anataka kuacha chuo na nyumbani ahame staki kuskia huo upuuzi mbona alfyata mkia sasa anaendelea na degree so ubabe kwenye familia hususan kwa kiongoz wa familia au wazazi ni muhmu cz huyo dogo after 2yrs atajuta ......ajajua mtaan palivyo pachungu anahs ataendelea kupokea mkopo wa loan board kwenye ndoa
 
Mh au kashawekwa kwenye chupaaa,tafuta ata mchungaji kama we ni mkristo au wazee wa ukoo wakae waongee nae ndoa sio mchezo
huyu bwana mdogo atajuta mwambie mzee akomae...astake kuskia hyo habar kama ni mahari ajilipie na harus ajigaramie huyo dogo anabalee vbaya na anaonekana anapelekeshwa na binti na huyo bnt katakua kaswahili ndio maana akajtambui
 
huyo mtoto ana wadudu kichwani yani watu tuna kazi nzuri mwaka wa nne sasa na 28 yrs marafk wameoa bt bado naona sjachelewa najpanga cz ukishaoa kulea ndio shughuli ....muulize huyo kijana anajua kua kuna kujenga...kutafta usafiri..kusaidia wadogo zake kielimu ili wasiwe dependant kwake ktk maisha baadaye..na anajua ada ya medium school ni m 3 kwa mwaka na anajua ukwen atatakiwa kutoa support kukiwa na tatzo huyo dogo naona anabalee vbaya...mama najua unachofeel pambana nae uskate tamaa kikubwa mume wako asmame kama mwanaume na kama mzazi aseme hakuna kuoa full stop...aktaka kuoa akatafte mahari anakojua na harus ajigharamie cz huyo kijana na huyo anayetaka kumuoa wote ni wapumbavu na inaonekana bnti ndye msemaji wa mwsho kwa kfupi anampelekesha huyo dogo.........ilishawah kunitokea last year mimi ni frst born mdogo wangu wa mwsho wa kiume yupo frst year alpomaliza dploma alitaka kuacha kuendelea na chuo et anataka kwenda jeshi wakat ada nalipa mimi na kaka yake analipiwa na wazazi...nikamwambia kama anataka kuacha chuo na nyumbani ahame staki kuskia huo upuuzi mbona alfyata mkia sasa anaendelea na degree so ubabe kwenye familia hususan kwa kiongoz wa familia au wazazi ni muhmu cz huyo dogo after 2yrs atajuta ......ajajua mtaan palivyo pachungu anahs ataendelea kupokea mkopo wa loan board kwenye ndoa

Ahsante Kwa ushauri..
 
uyooo umemdekeza akajisahau kama ana shidaa piaa uyo msichana aliyempata ana mchanganya mim nakushaur kama great thinker Wa milele..wewe mpe mahitaj muhimu tu kama school fees na msos afu vingine muachie yeye kidogo kwa muda fulan ataona maisha yalivo alafu uone kama atasema tena anataka kuoaa

Simdekezi ila Unajua mama Kwa Mtoto wake, ila amebadilika ghafla...
 
Ndio vijana wetu hao sijui tuwapeleke wapi!!!!!!!!
 
huyu bwana mdogo atajuta mwambie mzee akomae...astake kuskia hyo habar kama ni mahari ajilipie na harus ajigaramie huyo dogo anabalee vbaya na anaonekana anapelekeshwa na binti na huyo bnt katakua kaswahili ndio maana akajtambui

Ameondoka nyumbani amehamia Kwa Huyo binti, nimepiga cm ili nionge na mzazi wa Yule binti huyo mama amenambia kwanza wewe Sio mamake nashanga sana ukimsumbua mkwe Wangu usitutafish, nikasema basi siulizi, mtoto Wangu amepiga cm sikupokea na ametuma msg sikujibu...
 
Mrejesho unahitajika. Je katika hili ulifanikiwa kumfanya kijana wako afuate ushauri wako?
Apana amehamia uko kwa binti na nguo zake aliwacha nikampa mdogo wake ampeleke na amwambie we are done with him..
 
Apana amehamia uko kwa binti na nguo zake aliwacha nikampa mdogo wake ampeleke na amwambie we are done with him..
Huo ndio utu uzima. Kwa bahati mbaya umegundua hilo ikiwa too late. Siku nyingine kubaliana na mumeo kwani yeye ni mwanaume na ujana alipitia hivyo alivyosema mpe wembe umkate alijua kuwa hata usemeje akiamua hakuna wa kumrudisha nyuma mwanaume yoyote. Aidha kumbuka kwa wanaume si chochote kwa PAPUCHI
 
Back
Top Bottom