Mkuu miaka 18 unayoizungumzia ni sijui ni ipi lakini as long as ni mtoto wangu mie nilazima afate sheria na mila na desturi za kwetu, na sijamkatalia kuoa lakini mda ukifika anakimbilia nini? hana kazi hana nyumba sioni tofauti ya yeye na mtoto mchanga manake anafikiriwa kuanzia kula mavazi na shule, alitaka kunipanda kichwani au alitaka kunijaribu,hiyo asilimia 10 ndio ipi? au yakumlisha,kumvisha,kumsomesha,gari yakuendesha au kuna zaidi?
Mkuu usifanye rahisi kwa wenzio sio rahisi kama unavyo fikiria ukizingatia SIO mtoto wakumzaa mwenyewe.