Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Shtuka uyo kjana kampa mimba ndo maana anakuja kasi na ishu y ndoa ukute upande wa huyo dada n nouma na hachezew mtu ovyo.
Upande wa huyo msichana hawana lolote,huyu msichana amezaa anamtoto wanaka nyumba chumba kimoja na sitting room
hapo ndio alipokua analala na huyo binti,sasa kweli mtoto wenu hajaolewa mnakubali alale na bwana ndani ya nyumba yenu mkiwa kama wazazi?kiko walichokua wanategemea walijua the boy is RICH kumbe pesa za Baba.
 
Upande wa huyo msichana hawana lolote,huyu msichana amezaa anamtoto wanaka nyumba chumba kimoja na sitting room
hapo ndio alipokua analala na huyo binti,sasa kweli mtoto wenu hajaolewa mnakubali alale na bwana ndani ya nyumba yenu mkiwa kama wazazi?kiko walichokua wanategemea walijua the boy is RICH kumbe pesa za Baba.

kuzaa si kazi' kazi kulea! Vjana wa hvyo huwa wanatakaga mafunzo kwa vtendo. So mwache dunia imfunze.
 
Nimdogo sana he is just 21 anaoa nini? kazi hana analishwa anavishwa pesa ya matumizi pia anapewa huyo ni mumekweli?

Ili kumuonyesha kuwa kakuwa na anamajukumu anza kumpunguzia matumizi uliyokuwa unampatia(pesa) na azitafute mwenyewe, akiuliza mwambie mwanaume wa kuoa haombi home anatafuta kwa ajili ya familia yake, pia mwambie atafute pa kuishi na siyo hapo kwako. utakuwa umemaliza baadaya ya kuona maisha magumu ndipo atajifunza kitu.
 
Ili kumuonyesha kuwa kakuwa na anamajukumu anza kumpunguzia matumizi uliyokuwa unampatia(pesa) na azitafute mwenyewe, akiuliza mwambie mwanaume wa kuoa haombi home anatafuta kwa ajili ya familia yake, pia mwambie atafute pa kuishi na siyo hapo kwako. utakuwa umemaliza baadaya ya kuona maisha magumu ndipo atajifunza kitu.

Mkuu Amesha kwenda Kwa huyo mwanamke na Mpaka Sasa hana pakuka Kwa mwanamke ameambiwa atafute nyumba Ya kuka na Mke Sio Kwa wakwe, hao wakwe wanakaa room 1 na ukumbi, watajibeba..
 
Au anaona hawez mpata mwingine mana mapenz nayo hayana heshima kwa mugeni wake acha ajidunge maisha nipopote m2 wangu
 
Anataka harusi mwezi wa 5 mwaka huu akapose na harusi mwezi 9 yani amekuja na list nzima mie nimechoka nafsi yangu
na kinachoniuma nikua haoni kama namtakia mema yeye...
Mwambie aje na mpango mkakati wa jinsi atakavyoishi na mke wake kwa kujitegemea bila kuwategemea nyinyi wala kutegemea mtu yoyoye.
 
Mtoto amesema yeye atamuoa halafu aje akae nyumbani huyo mke,na mumewangu anasema hananeno kama mimi nikikubali..
Huyo kijana ni mpuuzi na inaonekana mume wako naye ni mpuuzi (ashakum si matusi). Yaani uoe mke wako halafu umpeleke akalelewe nyumbani na baba na mama. Stupidity at its best.
 
Unajua hizi tamaduni zetu zinatufanya hata watu wazima tuendelee kuwalea kama watoto wadogo. Huyo mtu yupo chuo, ana udogo gani huyo, na kama kweli yupo chuo, na bado hatambui ni mambo/majukumu yapi yanakuja na ndoa basi hajitambui. Kama anadhani kuoa ni urahisi wa kwenda downtown kila anapojisikia, mwacheni aoe. Huyo Baba mtu yupo sahihi kabisa!.
Yegomasika uko sahihi hasa tunapoongelea kijana wa miaka 18 ambaye amejitegemea. Huyu dogo yupo nyumbani kwa baba na mama na anawategemea kwa kila kitu na zaidi yupo chuo anasomeshwa na wazazi wake kwa gharama kubwa. Hivyo kama angekuwa ana wadau chembe ya uelewa angewasikiliza wazazi zaidi kuliko hisia na mihemko yake. Huyo baba mtu anakwepa wajibu wake muhimu wa kumshauri na kumuonyesha njia sahihi huyo kijana. Siamini kama angekuwa na msimamo kama huo iwapo huyo kijana angekuwa mtoto wake wa kuzaa. Inawezakana pia ni njia ya kujitoa kwenye majukumu ya kumsomesha huyo dogo.
 
Siwezi kumpa tuu am sure hajui anachofanya amekuja kutoka chuo likizo sijui kaonjeshwa nini yani amekolea vibaya mno
yani katika mtoto anaenipenda na kunisikiliza ni huyu lakini jana ameniacha HOI....mpaka nimelia....

Ha ha ha

Unapenda kulia.

Vipi dogo aliendelea kukomaa na kitaa au karudisha majeshi nyumbani?

Kweli shikamoo papuchi
 
Back
Top Bottom