Yani mkuu nimeongea na wazazi wa hayu Binti hii asubuhi nakawambia kijana wangu bado mdogo anasoma shule bora tusubiri amalize huweai amini maneno alosema mzazi wa huyu binti,eeeh mdogo eeh mbona anavyokuja akimparamia anajua aichomeke wapi,mtoto kwako unakowalea kama mayai baba mzima kila unalo mwambia eti subiri nikamweleze Mama sasa kwa taarifa yako namsubiri kwa hamu hapa atakupa salam zangu,mie sikujua hata nimwambieje akakata cm..
jiandae kulipa mahali ya kuanzia m 1.5
Usije kukubali kabisa hili swala kabisa hata kama ukibaki pekee mwenye msimamo huo! Usikubali kabisa na uwambie unakataa kwa kuwa unaona huyu kijana hajaweza kujitegemea kwa hiyo hauko tayari kuruhusu aoe..usikubali kabisaMkuu sio mdogo wangu ni mtoto wa shemeji yangu nimemchukua tangu anamiaka 6 sasa ana21 nimemsomesha nje sasa alikuja likizo ndio akakutana na hicho kituko amekolea,nimemuita Dad,babu yao wa kwa baba na bibi yao wa kwa mama ..watakuja jioni...
Anatakiwa asikubali kabisa hili jambo na aking'ang'ania atafute pa kwenda na mkewe sio hapo kwake na ikiwezekana aitishe kikao kabisa na amueleze mbele ya ndugu zake kuwa hakubaliani na hilo jambo kabisa na hatokubali.
Yani mie hata kufikiria sitaki kua ataoa sasaivi,nashindwa kuelewa ile ndoto alokua nayo ikowapi? mapenzi alokua anasema mama hakuna aneweza kuchukua nafasi yako na wewe ndio utanichagulia mimi mke unaemtaka wewe sababau sina chakukulipa Mom,leo hii amebadilika kupita maelezo....Vijana wamekuwa mambulula kiasi inati huruma mm napita maana nimesha yaona siku mbili ndoa hakuna utaniambia
​sawa una huruma ya mama lakini amekuwa mbishi sasa unamfanyeje mwache aende majuto ni mjukuu
jiandae kulipa mahali ya kuanzia m 1.5
Angekua amemaliza kusoma hata kama angekua hana kazi basi ningekubali mufanyia harusi lakini miaka 21 yeye mwenyewe mtoto...
Kuna jambo linaendelea si bure! Kijana amesha haribiwa ubungo kabisa na kinacho fata yawezekana hata chuo asirudi huyu lets wait.Yani na Wish angekua anajua kiasi gani anataka kuharibu maisha yake na nikimuliza umekutana na huyu binti wapi anasema shamba alikua anatembea na mtoto mgongoni all by herself she really tourched my heart,nilibaki namuangalia tuu...
sasa kama haelewi unamfanyeje, muache akaonje utamu wa kunjunja kila siku anataka kulala uchi daily huyo kijana hana lolote
Ahsante sana kwakusimama na mimi japo najua kua hao wanaokija watasema mtoto akililia wembe mpe mimi simpi wembe ntampa kitabu asome na inshallah hata kama nimekufa atajua kama Mama amenipa elimu...Usije kukubali kabisa hili swala kabisa hata kama ukibaki pekee mwenye msimamo huo! Usikubali kabisa na uwambie unakataa kwa kuwa unaona huyu kijana hajaweza kujitegemea kwa hiyo hauko tayari kuruhusu aoe..usikubali kabisa
Amekua mbishi wala siamini kama ndio yeye ...........
Yani na Wish angekua anajua kiasi gani anataka kuharibu maisha yake na nikimuliza umekutana na huyu binti wapi anasema shamba alikua anatembea na mtoto mgongoni all by herself she really tourched my heart,nilibaki namuangalia tuu...
Unajua watu wanakimbia kusema mtoto akililia wembe mpe..wanasahau hili neno halifai kila sehemu! Akimkubalia kuoa huyu mtoto hakika atajuta kwanini alimkubalia maana atabeba mzigo mkubwa kuliko atakapo mkatalia! Katika hili anatakiwa awe namsimamo tuuu hakuna kuoa kama anataka kuoa atafute pakumpeleka mkewe na ajue jinsi ya kumlisha.Huyo mjukuu akuletee ulee tena never nikufute kinyesi nije nifute na mwanao pia hapana hakuna kupewa wembe
Mkuu uko sahihi amesema kama hajamuoa huyu mwanamke haendi tena chuo na atahamia kwa huyo mwanamke,mie nimemsikiliza na sikumpigia kelele nimetaka kujua akili yake inamtuma vipi,na akili yake imeshaharibiwa hata chakula hali nyumbani anatoka asubuhi kurudi saa3 usiku,wakati alikua ananipeleka kazini nakunifata akitoka kunishisha anakwenda offisini kwa Babake anakwenda kumsaidia kazi kama utaamini mtoto wangu mpaka chakula alikua ananipikia ananiletea nile kazini,hatoki mpaka aniulize Mama doo u need anything? hatoki bila kuni hug na yani he was the best...Kuna jambo linaendelea si bure! Kijana amesha haribiwa ubungo kabisa na kinacho fata yawezekana hata chuo asirudi huyu lets wait.
Yani mkuu nimeongea na wazazi wa hayu Binti hii asubuhi nakawambia kijana wangu bado mdogo anasoma shule bora tusubiri amalize huweai amini maneno alosema mzazi wa huyu binti,eeeh mdogo eeh mbona anavyokuja akimparamia anajua aichomeke wapi,mtoto kwako unakowalea kama mayai baba mzima kila unalo mwambia eti subiri nikamweleze Mama sasa kwa taarifa yako namsubiri kwa hamu hapa atakupa salam zangu,mie sikujua hata nimwambieje akakata cm..
Heheheee washamtengeneza, chezea visiwani? katengenezwa na ukoo mzima...
Mama amka usiku piga rakaa 2 muombe Munguu, halafu mshauri asali istikhara Allah atafanya maajabu yake...ila hapo pagumu, mzazi anajibu hivyoo?
shosti ameyavaa mapenzi vibaya na huyo mtoto wa shamba kajua kua huyu mtoto nimpindue vipi,na anavyo elekea huyu mtoto anapewa mpaka aseme mwenyewe basi......Ha ha ha ha anaigiza tamthilia ha ha mwambie hapa ni bongo alafu aache maigizo hata ajala starehe za ujana anataka starehe za ubaba na umama he he he miss mie
Kuna jambo linaendelea si bure! Kijana amesha haribiwa ubungo kabisa na kinacho fata yawezekana hata chuo asirudi huyu lets wait.
Unajua watu wanakimbia kusema mtoto akililia wembe mpe..wanasahau hili neno halifai kila sehemu! Akimkubalia kuoa huyu mtoto hakika atajuta kwanini alimkubalia maana atabeba mzigo mkubwa kuliko atakapo mkatalia! Katika hili anatakiwa awe namsimamo tuuu hakuna kuoa kama anataka kuoa atafute pakumpeleka mkewe na ajue jinsi ya kumlisha.
Akafinya mchezo huyu kijana hata shule inaweza kuwa mwisho wake maana naona ni wazi kuna kitu anafanyiwa kutoka kwa upande wa msicha..hakika hii ni zaidi ya uke...asije kukubali huu ujinga kabisa. Hakika kati ya story za jf hii imeniacha mdomo wazi kabisa.
Mkuu sikufichi sijalala hata kidogo tangu jana mpaka sasa,inshallah ntafanya hivyo na pia namsubiri Dad aje nimsikilize nini tufanye yani nikizubaa mtoto namkosa,naona ananitoka kwenye himaya yangu hivi hivi ......Heheheee washamtengeneza, chezea visiwani? katengenezwa na ukoo mzima...
Mama amka usiku piga rakaa 2 muombe Munguu, halafu mshauri asali istikhara Allah atafanya maajabu yake...ila hapo pagumu, mzazi anajibu hivyoo?
na angalau yule mzazi wa binti angesema basi njoo tujadili ananijibu pumba ndio nimerowa nimajiiiiiiii...
Usikubali kabisa huu ujinga wa huyo mtoto mwambie kabisa hutaki kusikia halafu uone atafanya nini! hata wanao kwambia umkubalie wambie hukubaliani nao kabisa! Mwambie aendelee na masomo kwanza swala la kuoa hakuna na kama anang'ang'ania atafute pa kumpeleka huyo mkewe na usije kumsupport kwenye hilo jambo! We mwambie unachojua sasa hivi yeye anasoma full stop hayo mengine huyajui na hutoyajua kabisa na hutaki kusikia! Katika hili unatakiwa kuwa na msimamo mmoja..yani katoto kana miaka 21 kanataka kuoa Mungu wangu halafu mkewe kamlete kwao duuuu!Ahsante sana kwakusimama na mimi japo najua kua hao wanaokija watasema mtoto akililia wembe mpe mimi simpi wembe ntampa kitabu asome na inshallah hata kama nimekufa atajua kama Mama amenipa elimu...