Nimekupata BossMuache tuu kama una sababu nzito na ya msingi mbn mm nilimuacha wangu tulishikiana mpaka biblia na tukaapiana atutoachana lkn nilimuacha kwa kuwa alinicheat nikamuacha japo alinisumbua sana kunibembeleza turudiane alilia sana lkn nilimuacha msimamo wangu ulikuwa pale pale lzm nimuache mana mwanamke mm akishanicheat hana thamani tena kwangu kwaiyo kama una sababu nzito ya kumuacha ww muache tuu aita kueffect na chochote kile usiogope...ila usimuache eti kisa umemchoka no muache mwananamke kwa sababu nzito yenye mashiko kama labda kacheat apo kweli ww uyo mwanamke muache tuu mana afai tena ila sijui uko busy ndo umuache mzee apo utakuwa unazingua co poa kufanya ivyo...
Balaa Zaidi Nilimwahidi KumuoaDon't dare hata ile kujaribu tu. Ubusy wako usiwe kisingizio cha kumuacha mwenzako hapo hakuna excuse hata kidogo wewe rejesha upendo kama awali tu na kisha fungeni ndoa kukamilisha agano lenu. All the best
Hujalewa kitu mkuu na wewe umekula kiapo hiyo kutokulewa inaweza kuwa ni matokeo ya kiapo [emoji15] [emoji16]Mkuu sijakuelewa!
Mie kuna ex wangu wa kawaida ila alikuwa real sana. Nlianza nae akiwa mshamba mwanzoni ila baada ya kujua makeup, kuweka makucha na kuweka ma weaving kichwani nikamsifia sifia basi akajiona mzuri kupitiliza. Nilijitoa sana kwake kwa hali zote ila akajiona keki akaniletea ushenzi sana, jeuri nkamwambia nenda mama, kama sikuwahi kukupenda na kukuthamini kwa dhati yangu basi mungu atanilipa.sio wote
waliofikwa na hayo nikwamba walikuwa na imani kama unavyosema
nasio mpka yakutokee katk wakati huo huo ama muda mfupi baada ya kumuacha kijana wawatu
waweza kufikwa na mitihani yakimaisha baada ya kupita miaka 10 tangu ulipoamua kumuacha muhusika ila kwakuwa wewe nimtupa maganda kwampita njia utakuwa umesahau kuwa yanayokufika yanakufika kwakuwa tu yana nguvu ya laana ile uliyoitenda
waweza kufilisika ..kusingiziwa kesi. .kunyanyasika ktka mahusiano yko mapya dhidi ya yule uliyempata e.t c
niliachanaga nampenzi wangu niliyewahi kudumu nae kwa muda wa miaka mi4 kwaajili ya vituko vyake but hali aliyonayo sasa nikimtazamaga huwa namuonea huruma mnooo
binafsi sikuwahi kumlalamikia mungu hata siku moja nilimuacha kwa Amani tu
huyo ambaye unahisi kuwa hisia zake zipo kwakoSina Hisia Nae tena
extroMie kuna ex wangu hapati mtu wa maana toka tuachane. Anavuliwa pichu na kupigwa chini ndio imekuwa style yake. Namsare kwa mbali anavyohangaika matokeo yake amerudi analia lia ili turudiane.
Na balaa lake kipindi icho nilimwahidi kwamba Lazima Nimuoe!Kumuacha huyo demu lazma kuna impact hasa ukiwa umewekeana nae kiapo cha kumuoa na binti anakutarajia wewe umfanye mke. Anakupenda na kajitia imani asilimia mia moja kwako.
Hutaiona io impact leo wala kesho ila ipo siku yale maumivu utayompa yatakurudia in the same weight. Utajiskia uchungu sana ila pengine unaweza usijue ni nini hasa ndo shida.
hahahahaaJamaa inavyoelekea ukija kuoa
IPO siku utkuja kumuona mkeo kisa tu huna hisia nae
unashindwa kutambua kuwa desturi ya mahusiano yoyote Yale iwe ni ya urafiki ama mapenzi huwa yanakawaida ya kupanda na kushuka
haya tuseme kwamba ya urafiki yanaposhuka
unaweza ukaachana nayo cuz maybe itakuwa hkuna faida tena unayoipata toka kwenye huo urafiki wenu
so nivipi endapo yakishuka kwa mkeo ambaye nimama wawanao utamuacha au sio ..kisa tu hisia huna hisia nae ..yaani kisa hunà hisia nae basis utakuwa umeamau kutoheshimu hisia za mwenzio mpka hisia za watoto wako pia .na za ndugu na Jamaa ambao wanaiheshimu ndoa yenu
aiseeee wewe mtoa mada unapaswa kukua ndugu yangu
hayo mambo yakumuacha mtu kwakukosa hisia nae huwa wanafnya wanawake tena niwale ambao wapo kwenye kundi la wenye akili mtambuka
Mapishi...huleta radha tofauti mkuu..Hivi unaweza kinai mbunye kwan zna radha tofaut tofaut !!!!