Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Kiukweli itakugharimu kidogo kama miaka 4-6 shida utapata katika mahusiano kazi na mikosi usio taraji unapofanya agano lolote wawili basi ujue munguwenu ndiye shahidi kulivunja lazima apeleke faida upande ulio athirika think twice
wallahi nakoma Ndugu yenu.
 
Mungu wangu, Kweli Mkuu Huyu Mwanamke amenipa kila kitu chakee kwa upendo Mmoja sasa Nifanyeje?
kwanza kwanni utake kumuacha mtu ambaye aliyejitoa kwako kiasi hcho
halafu utegemee kutopigwa laana na ulimwengu aiseee cjui
maana kabla ykuchukuwa hayo maamuzi yako yakupasa utambue na athari atakazo zipata muhusika if ikioltokea kajiua utaweza kureplace uhai wake
then amekufnya jambo gani laajabu ambalo hujapendezwa nalo mpaka ikupelekee kutka kumuacha
 
Ma agano si mazuri nakumbuka former colleague wangu aliweka hayo maagano Na mpenzi wake akapata kitu kipya akasahau agano akamuacha kwa vishindo umaskini Dada wa watu aliumia sana. Yule colleague alioa lakini hakupata mtoto ng'o baada ya miaka 4 akakumbuka lile agano akamtafuta former girlfriend akamuomba msamaha kwa magoti. Akasamehewa Na kweli baada ya msamaha akapata watoto lakini.sasa watoto wamekuwa hakuna hata mmoja wa maana. Yaani kwa ujumla bora asingekuwa Na watoto tu. Hiyo ndio power ya agano LA kumkosea MTU ambae ni innocent Na alijitoa kwako.
 
Ma agano si mazuri nakumbuka former colleague wangu aliweka hayo maagano Na mpenzi wake akapata kitu kipya akasahau agano akamuacha kwa vishindo umaskini Dada wa watu aliumia sana. Yule colleague alioa lakini hakupata mtoto ng'o baada ya miaka 4 akakumbuka lile agano akamtafuta former girlfriend akamuomba msamaha kwa magoti. Akasamehewa Na kweli baada ya msamaha akapata watoto lakini.sasa watoto wamekuwa hakuna hata mmoja wa maana. Yaani kwa ujumla bora asingekuwa Na watoto tu. Hiyo ndio power ya agano LA kumkosea MTU ambae ni innocent Na alijitoa kwako.
Kilichomtesa ni imani yake. Ujinga ukiuendekeza lazima ukutese.
 
kwanza kwanni utake kumuacha mtu ambaye aliyejitoa kwako kiasi hcho
halafu utegemee kutopigwa laana na ulimwengu aiseee cjui
maana kabla ykuchukuwa hayo maamuzi yako yakupasa utambue na athari atakazo zipata muhusika if ikioltokea kajiua utaweza kureplace uhai wake
then amekufnya jambo gani laajabu ambalo hujapendezwa nalo mpaka ikupelekee kutka kumuacha
Basi tu mm sina feelings nae tena!
 
Ma agano si mazuri nakumbuka former colleague wangu aliweka hayo maagano Na mpenzi wake akapata kitu kipya akasahau agano akamuacha kwa vishindo umaskini Dada wa watu aliumia sana. Yule colleague alioa lakini hakupata mtoto ng'o baada ya miaka 4 akakumbuka lile agano akamtafuta former girlfriend akamuomba msamaha kwa magoti. Akasamehewa Na kweli baada ya msamaha akapata watoto lakini.sasa watoto wamekuwa hakuna hata mmoja wa maana. Yaani kwa ujumla bora asingekuwa Na watoto tu. Hiyo ndio power ya agano LA kumkosea MTU ambae ni innocent Na alijitoa kwako.
Ushanitisha Tayari!
 
imani Tu Sometimes inatokea Mtu Unakuwa huna Feeling Naye
Me Ambaye Niko Naye Nataka Nimrudishie Vitu Vyake Dhen Nimwambie Aendelee Na Maisha Yake

Nakumbuka Nilifanya Kwa Wa Kwanza Ikawa Peace Tu Vya kwangu Sikuhitaji Anirejeshee habadani.
 
imani Tu Sometimes inatokea Mtu Unakuwa huna Feeling Naye
Me Ambaye Niko Naye Nataka Nimrudishie Vitu Vyake Dhen Nimwambie Aendelee Na Maisha Yake

Nakumbuka Nilifanya Kwa Wa Kwanza Ikawa Peace Tu Vya kwangu Sikuhitaji Anirejeshee habadani.
Mliapiana?
 
Kuna jamaa aliwahi kuandika kitu muhimu sana humu.
Nanukuu "kama jambo hulijui na likawa lina mashaka na maisha yako bora uachane nalo na uzibe masikio lipite".

Naamn huo mlioufanya ulikuwa utoto tu, Ni sawaa na nyimbo zingine hivyo imani yako ikiamini hayo utateseka sana ila kama ni mtu wa kutokufatilia mambo ya kupuuzi kama mimi hauwez dhurika na lolote.

Ushauri wangu wako. Kuwa busy na kazi siyo sababu ya kusema uwez kuwa na mpenzi vizur muwekeane mipaka ila si kuleta siasa za 2020. Komaa nae mkuu
 
Kuna jamaa aliwahi kuandika kitu muhimu sana humu.
Nanukuu "kama jambo hulijui na likawa lina mashaka na maisha yako bora uachane nalo na uzibe masikio lipite".

Naamn huo mlioufanya ulikuwa utoto tu, Ni sawaa na nyimbo zingine hivyo imani yako ikiamini hayo utateseka sana ila kama ni mtu wa kutokufatilia mambo ya kupuuzi kama mimi hauwez dhurika na lolote.

Ushauri wangu wako. Kuwa busy na kazi siyo sababu ya kusema uwez kuwa na mpenzi vizur muwekeane mipaka ila si kuleta siasa za 2020. Komaa nae mkuu
Umenena

Hupasw kutilia maanan mambo ya kipuuzi na ujinga kama huo
 
Back
Top Bottom