Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

sina hakika mkuu
sema kama alikuwa nimtu wakujitoa sna kwako mpka kupelekea kuyaweka maisha yke mashakani kivyovyote vile
MZEE baba kama ukimuacha tarajia kupata laana
kumbuka laana sio mpaka uokote makopo yaweza kukukumba kwnye kipato chako ukajikuta unafilisika na kuwa mtu wa madeni mpka utatamani kulikimbia jiji
Namwmbea mema mama swalehe ila nikikumbuka kiapo alichoapa naomba mungu Amsaidie alyoyafanya yanaumiza ila mapenz jaman yanauma sikia kwa mwenzio
 
Mtu akiwa na kinyongo juu yako kwa kosa ulilomfanyia, au hata wewe ukiwa na kinyongo juu ya kosa ulilofanyiwa... Kuna mambo (si yote) hayatoenda sawa... Haijalishi unaamini au hauamini
 
Kiapo(maagano) si mazuri kwakweli... Na huwa kama mmeyafanya mkiwa serious... Yanakaa muda mrefu sana... Mfano mimi nina mtu hadi leo tutakosana, kila mtu atakasirika na kumchukia mwenzake na kuona bora tuachane... Hadi inafikia mtu kumwambia mwenzake kuwa fanya maisha yako... Lakini mwisho wa siku unarudi palepale... Tena bila kutoka sehemu nyingine na maisha yanaendelea kama hakuna kilichotokea.... Na bado hatujajua lini tunaweza achana...
MAAGANO YAPO NA YANAFANYA KAZI IWE UNAAMINI AU HAUAMINI
 
Ni sawa na mtu kuamua kuwa mwaminifu kwa mwenza wake. Jinsi anavyojisikia akienda kinyume inategemea na uadilifu/uaminifu wa mtu, mwingine atajisikia vibaya na mwingine hatojali kitu.
Kuwa wazi tu kwa mwenzako, msipotezeane muda.
 
Namwmbea mema mama swalehe ila nikikumbuka kiapo alichoapa naomba mungu Amsaidie alyoyafanya yanaumiza ila mapenz jaman yanauma sikia kwa mwenzio
hhaahaha baba salehe usinichekeshe
kwahiyo nawew mapenzi yamekupigisha kwata !?
sasa siuishi kama huyo Nicola TESLA
hao viumbe ukiwaendekeza watakufnya uwe na moyo kama wa PUTO
 
imani Tu Sometimes inatokea Mtu Unakuwa huna Feeling Naye
Me Ambaye Niko Naye Nataka Nimrudishie Vitu Vyake Dhen Nimwambie Aendelee Na Maisha Yake

Nakumbuka Nilifanya Kwa Wa Kwanza Ikawa Peace Tu Vya kwangu Sikuhitaji Anirejeshee habadani.
Mkiachana hua mnarudisha vitu mlivyopeana??
 
Na mm niongezee swali apo.
Je mkiamua kuvunja wote kwa kuelewana inakuaje?
Hapo haina shida,shida ipo kama mliwekeana viapo na mnavikana viapo vyenu ndipo utapo juta,kiapo ni kiapo tu hata mkubaliane wote hamtakuwa kama mwanzo.lazima mambo yawabadilikie tu,sijui pananini hapa kati!!
 
ongea nae mweleweshe....asipokubali jua unalo....na huwezi sema tu hivi hivi eti sina hisia nae tena....kirahisi rahisi tu...em vaa viatu vyake kwanza ungefanyaje....
 
Back
Top Bottom