kevin cuzo
Senior Member
- Nov 9, 2017
- 105
- 107
Daaah usijaribu hata kidogo ...kama alijitoa kwako kwa kila kitu I swear laana iko around ukimuacha....
Ogopa maagano...asikwambie mtu
Ogopa maagano...asikwambie mtu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] shemeji enu tuliekeana kiapo adi kesho yupo yan cjafikilia kumuacha na cjui kama itatokeaaisee!
Mb zangu jamani tangu Trh 7 Niko online dahhahaaa
mtoa mada nahisi he was committed suicide himself
nahisi stress zilimzidi kimo maana sio kwa mkwara ule then ghafla hatuoni mrejesho wowote wakati yaelekea nusu mwezi sasa
Kaka lakin kuna viapo vile vya kawaida tu vile ambavyo unamwambia ntakuoa tena hasa kwenye sim lakin baadae mnapotezeana kila mmoja anakua bize mpaka mnaachana na hiyo nayo inaweza leta laana?Hayo ni maagano katika Biblia tunaita maagano. Yatakucost popote uendapo mpaka yakavunjwe kwa utaratibu wa dini. Watu wengi leo tunatembea na laana za watu tuliowaacha, tulifanya nao maagano sasa tumejifanya wajanja tumesepa ila roho zao zinatulilia popote tuendako mwisho wa siku matatizo kibao yanatuandama
Kaka lakin kuna viapo vile vya kawaida tu vile ambavyo unamwambia ntakuoa tena hasa kwenye sim lakin baadae mnapotezeana kila mmoja anakua bize mpaka mnaachana na hiyo nayo inaweza leta laana?Hayo ni maagano katika Biblia tunaita maagano. Yatakucost popote uendapo mpaka yakavunjwe kwa utaratibu wa dini. Watu wengi leo tunatembea na laana za watu tuliowaacha, tulifanya nao maagano sasa tumejifanya wajanja tumesepa ila roho zao zinatulilia popote tuendako mwisho wa siku matatizo kibao yanatuandama
Nitapata hasara [emoji23] [emoji1]Akiharibikiwa hakuna faida yoyote utakayopata
Tokea 2014 sio mbalii sana ....ila najua nimepitia mangap .....ila still yuko kumoyotoka lini?
[emoji1]Mb zangu jamani tangu Trh 7 Niko online dah
Yah asingenielewa si tungeshindwana mapemaa.....unampenda anaeonesha kukupenda ...so ndomana anaweka kiapo anahofia kukupoteza[emoji29] [emoji29]na yeye anakuelewa sio