Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Muache tuu kama una sababu nzito na ya msingi mbn mm nilimuacha wangu tulishikiana mpaka biblia na tukaapiana atutoachana lkn nilimuacha kwa kuwa alinicheat nikamuacha japo alinisumbua sana kunibembeleza turudiane alilia sana lkn nilimuacha msimamo wangu ulikuwa pale pale lzm nimuache mana mwanamke mm akishanicheat hana thamani tena kwangu kwaiyo kama una sababu nzito ya kumuacha ww muache tuu aita kueffect na chochote kile usiogope...ila usimuache eti kisa umemchoka no muache mwananamke kwa sababu nzito yenye mashiko kama labda kacheat apo kweli ww uyo mwanamke muache tuu mana afai tena ila sijui uko busy ndo umuache mzee apo utakuwa unazingua co poa kufanya ivyo...
 
kiapo cha uzinifu,hiyo laana itatokea wapi? labda kingekuwa ndani ya ndoa.Tupa kule acha woga tafuta pesa best
 
hhaahaha baba salehe usinichekeshe
kwahiyo nawew mapenzi yamekupigisha kwata !?
sasa siuishi kama huyo Nicola TESLA
hao viumbe ukiwaendekeza watakufnya uwe na moyo kama wa PUTO
Mkuu aah nilimpendaga sana ila sa hivi nasubir kutoka ... Kwa bwana mwanamke ukimpenda sana anajiona yupo peke yake dunia nzima unajua nlimwahid had kummnunulia jamii forum[emoji41]
 
Muache tuu kama una sababu nzito na ya msingi mbn mm nilimuacha wangu tulishikiana mpaka biblia na tukaapiana atutoachana lkn nilimuacha kwa kuwa alinicheat nikamuacha japo alinisumbua sana kunibembeleza turudiane alilia sana lkn nilimuacha msimamo wangu ulikuwa pale pale lzm nimuache mana mwanamke mm akishanicheat hana thamani tena kwangu kwaiyo kama una sababu nzito ya kumuacha ww muache tuu aita kueffect na chochote kile usiogope...ila usimuache eti kisa umemchoka no muache mwananamke kwa sababu nzito yenye mashiko kama labda kacheat apo kweli ww uyo mwanamke muache tuu mana afai tena ila sijui uko busy ndo umuache mzee apo utakuwa unazingua co poa kufanya ivyo...
Kabisa tena unajibebesha zigo LA mavi ila nyie wanawake mkipendwa pendeken shabaashii
 
Mkuu aah nilimpendaga sana ila sa hivi nasubir kutoka ... Kwa bwana mwanamke ukimpenda sana anajiona yupo peke yake dunia nzima unajua nlimwahid had kummnunulia jamii forum[emoji41]
Hahaaa Kumnunulia JF tena kwahiyo ulitaka kutuuza mpka sisi kwakumpa hela mexence aiseee we Jamaa bhana

jaribu kutulia kwanza Yupo ambaye nisahihi utakuja katika wakati stahiki lasivyo utaangukia pua
 
Basi tu mm sina feelings nae tena!
Huna feelings na mtu uliyempenda mpk ukawekeana naye viapo?

Amin amin nakuambia hata huyo mwingine utakayempata hutakuwa na feelings naye kwa muda mrefu. Love is not all about feelings...I tell you me.
 
Sina imani sana kwamba kuna madhara, hayo ni maneno tu kama maneno mengine.
Kama achana nae tu, ufate moyo wako
 
Kama viapo vya maneno mbona wengine tunaapa karibia mara tatu na zaid kwa siku kila tukitongoza na tupo radhi hata kushika vitabu vitakatifu.
 
Waheshimiwa Habari za Usiku!

Ee bwana nina shida kidogo embu nisaidieni kuniweka wazi...

Kuna Binti Mmoja nina uhusiano nae kama mwaka hivi sasa katika mwanzo wa uhusiano wetu kama tuliapiana ile kwa Maneno tu kwamba Nakuahidi/apa kwa sintokuacha na ni kila mmoja alifanya hivo.

sasa kiukweli mimi kwa sasa nipo bize saana na as you know as long as you are busy mapenzi nayo hupungua kwa kiasi flani.
sasa huyu Dada kila saa anapoona sipo responsive saana (Japo kweli nina Mpango Huo wa kumuacha) amekuwa ananikumbusha kwamba kumbuka kiapo chetu.

sasa im honestly asking je nikivunja huu uhusiano kuna shida na hii ishu ya Kiapo cha Mapenzi ni kitu Real au Myth tu?

Don't dare hata ile kujaribu tu. Ubusy wako usiwe kisingizio cha kumuacha mwenzako hapo hakuna excuse hata kidogo wewe rejesha upendo kama awali tu na kisha fungeni ndoa kukamilisha agano lenu. All the best
 
sina hakika mkuu
sema kama alikuwa nimtu wakujitoa sna kwako mpka kupelekea kuyaweka maisha yke mashakani kivyovyote vile
MZEE baba kama ukimuacha tarajia kupata laana
kumbuka laana sio mpaka uokote makopo yaweza kukukumba kwnye kipato chako ukajikuta unafilisika na kuwa mtu wa madeni mpka utatamani kulikimbia jiji
ukiamini hivyo yatakutokea kweli isipoamini walaaa your free from it
 
ukiamini hivyo yatakutokea kweli isipoamini walaaa your free from it
sio wote
waliofikwa na hayo nikwamba walikuwa na imani kama unavyosema
nasio mpka yakutokee katk wakati huo huo ama muda mfupi baada ya kumuacha kijana wawatu

waweza kufikwa na mitihani yakimaisha baada ya kupita miaka 10 tangu ulipoamua kumuacha muhusika ila kwakuwa wewe nimtupa maganda kwampita njia utakuwa umesahau kuwa yanayokufika yanakufika kwakuwa tu yana nguvu ya laana ile uliyoitenda
waweza kufilisika ..kusingiziwa kesi. .kunyanyasika ktka mahusiano yko mapya dhidi ya yule uliyempata e.t c

niliachanaga nampenzi wangu niliyewahi kudumu nae kwa muda wa miaka mi4 kwaajili ya vituko vyake but hali aliyonayo sasa nikimtazamaga huwa namuonea huruma mnooo
binafsi sikuwahi kumlalamikia mungu hata siku moja nilimuacha kwa Amani tu
 
Mtu akiwa na kinyongo juu yako kwa kosa ulilomfanyia, au hata wewe ukiwa na kinyongo juu ya kosa ulilofanyiwa... Kuna mambo (si yote) hayatoenda sawa... Haijalishi unaamini au hauamini
Wallahi
 
Kiapo(maagano) si mazuri kwakweli... Na huwa kama mmeyafanya mkiwa serious... Yanakaa muda mrefu sana... Mfano mimi nina mtu hadi leo tutakosana, kila mtu atakasirika na kumchukia mwenzake na kuona bora tuachane... Hadi inafikia mtu kumwambia mwenzake kuwa fanya maisha yako... Lakini mwisho wa siku unarudi palepale... Tena bila kutoka sehemu nyingine na maisha yanaendelea kama hakuna kilichotokea.... Na bado hatujajua lini tunaweza achana...
MAAGANO YAPO NA YANAFANYA KAZI IWE UNAAMINI AU HAUAMINI
Mkuu sasa Nachomokaje
 
Ni sawa na mtu kuamua kuwa mwaminifu kwa mwenza wake. Jinsi anavyojisikia akienda kinyume inategemea na uadilifu/uaminifu wa mtu, mwingine atajisikia vibaya na mwingine hatojali kitu.
Kuwa wazi tu kwa mwenzako, msipotezeane muda.
Fact
 
Back
Top Bottom