Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Hivi viapo vya mapenzi vina madhara?

Watu wanaapa kanisani " till death do us apart" wanaachana na maisha yanasonga
 
hahahahaa
hahaaa halafu nimeshagundua kumbe hii thread yako nichai
maana SIGNATURE yako inamapambio yanayo mtukuza mkeo
au huyo uliyemuelezea kwenye huu Uzi nimchepuko nini !!? daahhh hata kama nimchepuko hastahiki hiyo adhabu nibora usingekuwa nae tu ili kuepusha lakuvunda ambalo halijawahi kusikia ubani

nakama pia nimchepuko basi hayo maandishi ya kwenye SIGNATURE ya badilishe kuanzia sasa maana unamng'ata mkeo nakumpuliza ..otherwise utuambie kuwa huu UZI nichai
teheee
 
Hahaaa Kumnunulia JF tena kwahiyo ulitaka kutuuza mpka sisi kwakumpa hela mexence aiseee we Jamaa bhana

jaribu kutulia kwanza Yupo ambaye nisahihi utakuja katika wakati stahiki lasivyo utaangukia pua
Eeeh Mkuu nlkua nawauza nyie wootee
 
Eeeh Mkuu nlkua nawauza nyie wootee
hahaa kama ndio hivyo basi HAYO maumivu unayoyapata sasa ni haki yako
usikute huyo mkeo nae alikuwa na ID yake humu
akaona kuwa umevuka mipaka na minyau yaani wataka kumbinafsisha mpaka yeye kwaajili papuchi ndio maana akaona akukimbie
 
hahaaa halafu nimeshagundua kumbe hii thread yako nichai
maana SIGNATURE yako inamapambio yanayo mtukuza mkeo
au huyo uliyemuelezea kwenye huu Uzi nimchepuko nini !!? daahhh hata kama nimchepuko hastahiki hiyo adhabu nibora usingekuwa nae tu ili kuepusha lakuvunda ambalo halijawahi kusikia ubani

nakama pia nimchepuko basi hayo maandishi ya kwenye SIGNATURE ya badilishe kuanzia sasa maana unamng'ata mkeo nakumpuliza ..otherwise utuambie kuwa huu UZI nichai
teheee
Hapana Hio signature ni ya Mpenzi mpya nilie nae saivi yaan mwingne
 
KARMA ni mbaya sana. angalieni mlipokosea na mrekebishe.
hata huyo mpya ulompata ipo siku utamwona hafai
 
Kuna nguvu katika maneno hasa ya maagano/viapo
 
hahaa naona yule mwenye uzi wakulipiza kisasi Siku ya ndoa yake kakuangusha mnooo mpaka leo kaota manyoya

out of topic
Hivi hajaleta mrejesho? Maana nishanunua petrol na kiberiti
 
Hivi hajaleta mrejesho? Maana nishanunua petrol na kiberiti
hahaaa
mtoa mada nahisi he was committed suicide himself
nahisi stress zilimzidi kimo maana sio kwa mkwara ule then ghafla hatuoni mrejesho wowote wakati yaelekea nusu mwezi sasa
 
Hapana Hio signature ni ya Mpenzi mpya nilie nae saivi yaan mwingne
mpenzi mpya !!?
kwahiyo huyu uliyetuomba ushauri dhidi yake kumbe umeshamuacha Tayari na umeshaamua kuwa na mwanamke mwingine nakama hujamuacha it means upo nae huku umeamua kuwekeza misuli ya akili yako na yaupendo kwa binti mwingine
sasa ushauri unaoutaka toka kwetu niwanni mkuu??
wakati umeshamsaliti Tayari

daahh ujana kwli noma
 
Back
Top Bottom