Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Katika pitapita zako nje na ndani ya Tanzania hivi ushawahi kumuona chizi la kizungu kama ambavyo machizi tunayoyaona mitaani kwetu huku?
Basi jua kwamba uchizi unatokana na clan history, ukiona mtu chizi ujue kwenye ukoo wao pia kuna mtu aliwahi kuwa chizi kipindi cha nyuma huko.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Basi jua kwamba uchizi unatokana na clan history, ukiona mtu chizi ujue kwenye ukoo wao pia kuna mtu aliwahi kuwa chizi kipindi cha nyuma huko.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app