Wakati ndoa bado changa mume wangu/mke wangu, dear, sweet, darling.
Mkipata mtoto, baba koku/mama koku.
Kibongo bongo mtu aliye owa/olewa hawapendi kuitana majina yao hata mbele ya jamii ni nadra kukuta mtu aliyeoa/olewa anaitwa jina lake na hasa mnapokuwa na watoto.
Anyway mimi huita mama koku ktk normal situation, nikitaka kiromantic zaidi humuita dear, my wife, akiniudhi naita jina lake kabisa.
She call me dear all the time and i like it.
Mkipata mtoto, baba koku/mama koku.
Kibongo bongo mtu aliye owa/olewa hawapendi kuitana majina yao hata mbele ya jamii ni nadra kukuta mtu aliyeoa/olewa anaitwa jina lake na hasa mnapokuwa na watoto.
Anyway mimi huita mama koku ktk normal situation, nikitaka kiromantic zaidi humuita dear, my wife, akiniudhi naita jina lake kabisa.
She call me dear all the time and i like it.