Mafanikio kwenye Kombe la Dunia ni ishara tosha kwamba Nchi iko njema... haiwezekani usishinde mechi hata moja halafu useme wewe uko vizuri hata Marekani ambayo soka sio kihivyo lkn wanasonga mbele angalia Ujapani wamo tu...
Mkuu
Waingereza ndio mabepari halisi apendwi mtu bali lina pendwa pochi, wameacha kutengeneza vitu vingi sana kwa sababu ya gharama za uzalishaji wa ndani. Ndio maana maviwanda mengi sana wameya amishia ugenini lakini kumbuka kwakuwa base zipo uingereza they have to pay their taxes that is what the government cares.
Pili ni kweli they do not produce much but the economy is centered around the service sector finance being the heart of their economy and many of those business are multinational kodi zao hao ni nyingi kuliko za toyota.
Halafu kuna swala la london kupendwa na matajiri, in fact it is a single city with most billionaire than anywhere in the world matanuzi ya hawa jamaa ni makubwa sana na wanatoa mchango mkubwa kwenye kodi, in short mwingereza is a clever individual these people always think ahead, what next should it come to this, just like me.
Bado kuna swala la patents ambazo huwezi amini ingawa hakuna kiwanda cha computer lakini most of the software patents are held by UK businesses, kuna swala la exportation of skilled workers every in the world. In short kwa juu juu tu unapata picha ambayo siyo, but then looks can be deceiving.
Timu ya mpira kwakweli is pampered too much, some people think three lions get the treatment suitable for pussycat dolls thats not how to treat a football team.
On a serious note its very hard to spot or nurture talent in premiership kwanza kushuka daraja pekee kuna igharimu team a minimum of 20 million pounds. Kwa mtaji huo kucheza premiership is a big deal, na timu kubwa kukosa champions league football it cost them 30 million pounds in revenue upwards. Sasa unakuta these people have no time with nurturing talent all they want is to maintain there status matokeo yake premiership na daraja la kwanza limejaza worldwide talents even in their academies.
Meanwhile the tax man is happy with these policies maana the more you lure talent and pay them hundreds of thousands the coffers get 40 percent on income tax, plus other benefits on footballers expenditures, dont expect the government to change that any time soon.
Ni swala ambalo sasa linaangaliwa upya kuna mjengo mpya wa FA academy ambao umejikita kukuza wazawa bila kupitia clubs, football is a big deal kwa waingereza na hiyo timu ya taifa inapewa kila kitu isipokuwa there isn't enough talent.