Hivi tumewahi kujiuliza siri iliyopo nyuma ya ubao..?

Mgodo visa

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
3,562
3,559
Poleni na Majukumu wana JF wote, zaidi wale mashabiki wa jukwaa la Jamii intelligence.

Nilipenda kutupia UZI (thread) huu katika jukwaa la Great thinkers, kwa imani kule wapo Wasomi, Wazee wenye busara na hekima, na baadhi Wadadisi ama wajuzi wa mambo.

Kwa bahati mbaya/nzuri, wengi mnaelewa taratibu za kuanzisha UZI katika jukwaa hilo...!

Naanza kwa kujiuliza/kuuliza maswali haya kama ifuatavyo:-

Hivi ni kwa nini...!? Jamii yetu (hii ni kila kona Ulimwenguni) imetawaliwa na maneno haya mawili..

(1) Chini ya Kapeti (Zuria).
(2) Nyuma ya Pazia.

Swali ni je..!? Kwanini Binaadamu tumesahau kutoa Pongezi , kutungia Mashairi mazuri, kuandika vitabu, kutoa sifa (kuu) kuelezea/kuzungumzia UBAO (Blackboard) kama Nyezo muhimu na hazina, katika kuyabadirisha Maisha ya Binaadamu, na Ulimwengu wake kwa Ujumla.

Naweza kusema Baada ya Mungu, ulifuatia Ubao (si Mzungu kama wahuni wengi wanavyo sema).

Nareje Mafundisho kutoka katika Qur'an (halisi), tunafundishwa kuwa, baada ya Mungu kuwaumba Malaika na Baba yetu Adam (a.s.w)

Inasemekana waliona UBAO uliandikwa jina la Mtume Muhammad (s.a.w) na wakamuuliza Muumba juu ya Ubao huo..

Nisizame sana, naamini kwa atakae taka kujua zaidi, anaweza kuwatafuta Waalimu wa Elimu/Dini hii.

Tunaambiwa pia, katika kitabu alicho pewa Babu yetu, Nabii Musa (a.s.w.) zile Amri alizo elekezwa, zilikuwa zimeandikwa katika kipande cha Ubao.

Swali lingine, ni kwanini...!?
Waalimu, Wanafunzi, Profesa, Wanazuoni n.k...wanashindwa kueleza SIRI NYUMA YA UBAO.

Ambapo/ambao leo hii, ndio chanzo cha Mabadiriko, Kisiasa, Kiuchumi, Sayansi na teknoloji na kila kitu ambacho ndio Amani, Vita, Chuki, Upendo, Maradhi, Afya, (viko vingi na kila mmoja anaweza kutaja)

NB: Mada ingependeza kama tukipata "KAPSHEN" mbali mbali za Watu (Waalimu/Wanafunzi) wakiwa katika Ubao.

Naomba kuwasilisha Mada.
Karibuni tujadiri.




Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Ni afadhar kule kwa great thinkers wameweka vigezo bila hivyo ungeenda kuchafua forum. Ukigeuza ubao huo uliouita blackboard unakutana na ukuta. Hamna kitu chochote usifananishe na nyuma ya pazia au kapeti. Siyo tu ukikaa umelewa urojo unaona umejiwa na wahayi....mafunuo. Ubao hauna siri yoyote.... Its either umevuta bhangi au umekunywa mapombe yenu hayo.
 
Kwani huyo aliyekuonesha hivyo vibao alikuambia kuna nini nyuma yake ?

Kama Musa alipewa kibao na Mungu na hakusema chochote kuhusu upande wa pili wa kibao, basi hakuna kitu zaidi ya mgongo wa ubao.

Ila kwa upande mwingine wa shilingi, neno nyuma lina maanisha kinyume. (fasihi ya imani)

Kama mbele ya ubao kuna Neno la Mungu, nyuma yake kuna huyo unayetaka kumtangaza.

Mi nimekuelewa lengo lako.
 
Poleni na Majukumu wana JF wote, zaidi wale mashabiki wa jukwaa la Jamii intelligence.

Nilipenda kutupia UZI (thread) huu katika jukwaa la Great thinkers, kwa imani kule wapo Wasomi, Wazee wenye busara na hekima, na baadhi Wadadisi ama wajuzi wa mambo.

Kwa bahati mbaya/nzuri, wengi mnaelewa taratibu za kuanzisha UZI katika jukwaa hilo...!

Naanza kwa kujiuliza/kuuliza maswali haya kama ifuatavyo:-

Hivi ni kwa nini...!? Jamii yetu (hii ni kila kona Ulimwenguni) imetawaliwa na maneno haya mawili..

(1) Chini ya Kapeti (Zuria).
(2) Nyuma ya Pazia.

Swali ni je..!? Kwanini Binaadamu tumesahau kutoa Pongezi , kutungia Mashairi mazuri, kuandika vitabu, kutoa sifa (kuu) kuelezea/kuzungumzia UBAO (Blackboard) kama Nyezo muhimu na hazina, katika kuyabadirisha Maisha ya Binaadamu, na Ulimwengu wake kwa Ujumla.

Naweza kusema Baada ya Mungu, ulifuatia Ubao (si Mzungu kama wahuni wengi wanavyo sema).

Nareje Mafundisho kutoka katika Qur'an (halisi), tunafundishwa kuwa, baada ya Mungu kuwaumba Malaika na Baba yetu Adam (a.s.w)

Inasemekana waliona UBAO uliandikwa jina la Mtume Muhammad (s.a.w) na wakamuuliza Muumba juu ya Ubao huo..

Nisizame sana, naamini kwa atakae taka kujua zaidi, anaweza kuwatafuta Waalimu wa Elimu/Dini hii.

Tunaambiwa pia, katika kitabu alicho pewa Babu yetu, Nabii Musa (a.s.w.) zile Amri alizo elekezwa, zilikuwa zimeandikwa katika kipande cha Ubao.

Swali lingine, ni kwanini...!?
Waalimu, Wanafunzi, Profesa, Wanazuoni n.k...wanashindwa kueleza SIRI NYUMA YA UBAO.

Ambapo/ambao leo hii, ndio chanzo cha Mabadiriko, Kisiasa, Kiuchumi, Sayansi na teknoloji na kila kitu ambacho ndio Amani, Vita, Chuki, Upendo, Maradhi, Afya, (viko vingi na kila mmoja anaweza kutaja)

NB: Mada ingependeza kama tukipata "KAPSHEN" mbali mbali za Watu (Waalimu/Wanafunzi) wakiwa katika Ubao.

Naomba kuwasilisha Mada.
Karibuni tujadiri.




Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Yale maandishi ukutani! Kitabuni, kwenye simu yako na popote pale yalipo ni ubao wa kujitazama mawazo fikra na mtazamo wako! Hii ndio siri iliyopo nyuma ya ubao (sio chini ya zulia)
Maandishi hayaandikwi hewani/penye utupu....maandishi ni dhana maandishi ni haiba maandishi ni wajihi, kiandikio chako (kalamu mdomo kidole) ni kibebeo cha ujumbe toka ufahamuni na ubao (simu kitabu computer nk) ni kipokeo na kituo cha fikra zilizotafsiriwa katika maumbo ya uhalisia
Niliwahi kusema remote ya maisha yetu ni ulimwengu wa roho/giza, ulimwengu usioonekana...ni kutoka huko kwa kutumia nyenzo tajwa hapo juu (vibebeo) huyaleta yale ya rohoni nuruni (kwenye vipokeo)....!!! Siri ya namba tatu na utatu (fikra kibebeo kipokeo)

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Nyuma ya ubao hakuna la maana,huwa tunasoma kwenye ubao,sasa ukiugeuza nyuma unafunika ujumbe.Thamani ya ubao ni juu yake tu wala siyo chini.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Nyuma ya ubao kuna maana! Nyuma ya ubao ni wewe

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Ni afadhar kule kwa great thinkers wameweka vigezo bila hivyo ungeenda kuchafua forum. Ukigeuza ubao huo uliouita blackboard unakutana na ukuta. Hamna kitu chochote usifananishe na nyuma ya pazia au kapeti. Siyo tu ukikaa umelewa urojo unaona umejiwa na wahayi....mafunuo. Ubao hauna siri yoyote.... Its either umevuta bhangi au umekunywa mapombe yenu hayo.
Natamani ungemuelewa! Ana mada iliyobeba maudhui kubwa mno
Ukijiangalia kwenye kioo unajiona sura na mwili wako nguo na vitu ulivyovaa na mazingira ya pembeni
Ukikigeuza kioo hutajiona bali wengine ndio watajiona ila ziada watakuona wewe uliyewageuzia kioo! Hata kama hawatakuona mwili wote ( kutegemeana na ukubwa wa kioo)fumbo LA roho hili
Ukifumba macho hutajiona ila utaona yale unayoyawaza na uliyowahi kuyaona halafu utaona mengine mageni
Hii sio mada nyepesi hata kidogo

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Kwani huyo aliyekuonesha hivyo vibao alikuambia kuna nini nyuma yake ?

Kama Musa alipewa kibao na Mungu na hakusema chochote kuhusu upande wa pili wa kibao, basi hakuna kitu zaidi ya mgongo wa ubao.

Ila kwa upande mwingine wa shilingi, neno nyuma lina maanisha kinyume. (fasihi ya imani)

Kama mbele ya ubao kuna Neno la Mungu, nyuma yake kuna huyo unayetaka kumtangaza.

Mi nimekuelewa lengo lako.
Siri ya utatu
Mungu (roho/fikra/ufahamu)
Musa/nabii (kibebeo)
Ubao(kiandikio)
Utimilifu wa dhana toka rohoni kuja ulimwengu halisi

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa unakuja vizuri ila hayo uliyoyachanganya hapo ndiyo nimeishia hapo hapo,
Subiri wenzako wanakuja.
Kweli Mkuu, nimewalenga watu makini humu.

Wasio na fikra PEVU, napenda wapite kama wewe.

Shukran...!

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Ni afadhar kule kwa great thinkers wameweka vigezo bila hivyo ungeenda kuchafua forum. Ukigeuza ubao huo uliouita blackboard unakutana na ukuta. Hamna kitu chochote usifananishe na nyuma ya pazia au kapeti. Siyo tu ukikaa umelewa urojo unaona umejiwa na wahayi....mafunuo. Ubao hauna siri yoyote.... Its either umevuta bhangi au umekunywa mapombe yenu hayo.
Nashukuru GuDume, nimefurahi kuona kwa mara ya kwanza, umechangia katika UZI niliyo anzisha.

Nimepima pia uwezo wako, kuchanganua mambo...

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Kwani huyo aliyekuonesha hivyo vibao alikuambia kuna nini nyuma yake ?

Kama Musa alipewa kibao na Mungu na hakusema chochote kuhusu upande wa pili wa kibao, basi hakuna kitu zaidi ya mgongo wa ubao.

Ila kwa upande mwingine wa shilingi, neno nyuma lina maanisha kinyume. (fasihi ya imani)

Kama mbele ya ubao kuna Neno la Mungu, nyuma yake kuna huyo unayetaka kumtangaza.

Mi nimekuelewa lengo lako.
Pamoja Mkuu....!

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Mwandishi wa sired umewaza sana ila naamin kesho utataka tuseme nyuma ya kitanda kunani??

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Sina Maana hiyo...(kwa Sauti ya JMK)

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Nyuma ya ubao kuna maana! Nyuma ya ubao ni wewe

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
I salute to you Mshana Jr....!! Naamini kabisa, majibu ya Uzi huu, huwezi kuyatoa, pasipo kuingia ndani ya Nafsi yako na kujivua Utu kwanza, ili kupata majibu kama yako..!

Hollah Mshana...

Wewe ni moja ya watu ninao wakubali, japo wengi hutishwa na MADA zako za KIASILI...

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom