Hivi serikali inashindwa nini kujikita kwenye mapinduzi ya kilimo na vifaa vyake

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,611
8,745
Ni aibu kila nchi inayokuja kujifunza tanzania kilimo ikipeleka kwao inafanya mpaka kujulikana wazalishaji wakubwa.leo zana na vifaa vya kilimo vina utitili wa makodi na siasa yani mpaka mbolea ni jambo la zama za zamani.
wakulima,wafugaji na wavuvi ni kama watu wasio thaminika.watu hawa ndio walitakiwa kuwa matajiri sababu ndio wanalisha nchi.

mfano wa wakulima
nchi yetu imebahatika kuwa na maeneo makubwa yenye rutuba na ambazo zinakaliwa na wamiliki ambao wakulima wasio jiweza.
tunashindwa nini wasiwe kipaumbele kuwekewa dhamana na benki kununuliwa vifaa na kutafutiwa masoko ndani na nje.
kuwekezwa kwenye mazingira mazuri kama makazi,usafiri,mabwana kilimo na n.k.

mfano wa wafugaji
tuna idadi kubwa ya mifugo na uwahakika wa nyama ni mkubwa sio kwa wenzetu wanaofikia mpaka kula chura sababu ya uhaba wa mifugo na bei.
kwa nini serikali isiwawezeshe wafugaji kuwa na mfumo wa kufuga kulima yani wawe wanafuga na kulima nyasi ambazo tafiti mnazo pale morogoro ila sijaona kufanyiwa kazi.

mfano wa wavuvi
yani tuna bahari na maziwa ila samaki ni mboga wanaojiweza sababu ya ukosefu wa kuvuna samaki.yani mpaka leo wavuvi wameshindwa kupewa kipaumbele kuwa na meli au maboti makubwa ambayo yakiingia kuvua tani na matani mpaka mtu wa kigoma anapata ngisi na jodari.
mnawakumbuka wale waliokomatwa kipindi cha waziri marehemu magufli ile meli ndio mfano tosha sio mitumbwi ambayo hata tani 2 iwezi kubeba na kuvua mbali kabisa ambao mataifa mengine utumia fursa bahari ya indi kujivulia tusipo weza kufika.

ni maoni
pesticide.jpg
 
Ni aibu kila nchi inayokuja kujifunza tanzania kilimo ikipeleka kwao inafanya mpaka kujulikana wazalishaji wakubwa.leo zana na vifaa vya kilimo vina utitili wa makodi na siasa yani mpaka mbolea ni jambo la zama za zamani.
wakulima,wafugaji na wavuvi ni kama watu wasio thaminika.watu hawa ndio walitakiwa kuwa matajiri sababu ndio wanalisha nchi.

mfano wa wakulima
nchi yetu imebahatika kuwa na maeneo makubwa yenye rutuba na ambazo zinakaliwa na wamiliki ambao wakulima wasio jiweza.
tunashindwa nini wasiwe kipaumbele kuwekewa dhamana na benki kununuliwa vifaa na kutafutiwa masoko ndani na nje.
kuwekezwa kwenye mazingira mazuri kama makazi,usafiri,mabwana kilimo na n.k.

mfano wa wafugaji
tuna idadi kubwa ya mifugo na uwahakika wa nyama ni mkubwa sio kwa wenzetu wanaofikia mpaka kula chura sababu ya uhaba wa mifugo na bei.
kwa nini serikali isiwawezeshe wafugaji kuwa na mfumo wa kufuga kulima yani wawe wanafuga na kulima nyasi ambazo tafiti mnazo pale morogoro ila sijaona kufanyiwa kazi.

mfano wa wavuvi
yani tuna bahari na maziwa ila samaki ni mboga wanaojiweza sababu ya ukosefu wa kuvuna samaki.yani mpaka leo wavuvi wameshindwa kupewa kipaumbele kuwa na meli au maboti makubwa ambayo yakiingia kuvua tani na matani mpaka mtu wa kigoma anapata ngisi na jodari.
mnawakumbuka wale waliokomatwa kipindi cha waziri marehemu magufli ile meli ndio mfano tosha sio mitumbwi ambayo hata tani 2 iwezi kubeba na kuvua mbali kabisa ambao mataifa mengine utumia fursa bahari ya indi kujivulia tusipo weza kufika.

ni maoni
View attachment 2892719
Mbona haijashindwa na ndicho inafanya Sasa?

Unaijua ajenda 10/30?
 
wameshindwa ziwa victoria kusambaza maji tu
Walishindwa waliotangulia ila Samia hajashindwa.

Kuna Utitiri wa miradi Kuzunguka Ziwa unaendelea ndani ya miaka 2 ijayo Kila sehemu kutakuwa na maji.

Kuna mradi mkubwa wa Kilimo Cha Umwagiliaji unasanifiwa Bonde la Bugwema Kwa kushirikiana na Arab contractors itakuwa game changer.

Samia pekee ndio amemwaga bil.970 kwenye Kilimo,hiyo ana utashi wa Kisiasa na anajua Nchi hii inachokitaka.
 
Labda hawa watawala walioko kwenye mfumo na walio andaliwa baada yao litokee tetemeko liwameze wote ndio nchi itapiga hatua ya maendeleo ya kweli
 
Rais Samia ni game changer,hawezi maliza Changamoto zilizoshindikana miaka 60 nyuma Kwa miaka 3 ila anaweza kuzipunguza sana.

Magari kama haya yanayochimba visima yalinunuliwa na Samia Kupitia pesa za Uviko 19 na yamegawiawa Kila Mkoa.

View: https://www.instagram.com/reel/C24GGbdqBW5/?igsh=bzc5M2VvZTM3bGtl

Serikali inanunua magari ya kuchimba visima?

Nani anasimamia?

Hela zinapatikana zinaenda wapi?

Watazila zote,magari hayapata vipuri,mafuta,madereva,baada ya mwaka yanakufa kibudu kama mwendokasi

Tangu lini liserikali likajua kuendesha hata kibanda cha chipsi?

Hizi ni political campaign talks,useless

Hakuna kitu hapo,thats another mwendokasi nonsense
 
Serikali inanunua magari ya kuchimba visima?

Nani anasimamia?

Hela zinapatikana zinaenda wapi?

Watazila zote,magari hayapata vipuri,mafuta,madereva,baada ya mwaka yanakufa kibudu kama mwendokasi

Tangu lini liserikali likajua kuendesha hata kibanda cha chipsi?

Hizi ni political campaign talks,useless

Hakuna kitu hapo,thats another mwendokasi nonsense
Unauliza maswala ya kijinga,kilayman na kipumbavu.

Unaujua Wakala wa Visima?

Pesa zingine za mamlaka ya maji au za Huwa Zinaenda wapi?

Tafuta maarifa Ili yakusaidie kupunguza upumbavu kichwani ndio uje kwenye mada.

Kazi hii inafanywa na Samia Kanda ya Ziwa huko Mara 👇👇

View: https://twitter.com/Salha_shani/status/1753675435873837391?t=AkL93toMUY7U_dKhtYZO-A&s=19
 
Back
Top Bottom