Hivi Rais Samia ana damu ya kitanzania kweli?

Hivi Rais Samia ana damu ya kitanzania kweli?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,282
Reaction score
38,876
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Huyu ana damu toka Oman 🇴🇲 ndiyo maana anatudharau sana Watanganyika. CCM waiuza Tanganyika utumwani Zanzibar (Oman 🇴🇲)
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Hana ya Tanganyika
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Umeshaambiwa Wajomba wako Oman, halafu unauliza nini tena! Au hufahamu kama Mjomba na yeye ni mama?
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Huyo ni mwaarabu
 
Makundi ya damu ni A,B,AB na O
Hivyo anayo ya kitanzania
Ukifata historia ya wakazi wa mwanzo wa kisiwa Cha Unguja ni walitokea pwani ya Tanganyika.

Watumwa waliochukuliwa maeneo mbalimbali ya Tanganyika mpaka Zimbabwe, vizazi vyao vipo pale.

Ni mtanganyika kwa asili na Mtanzania kwa asili pia.

Mnauliza tu wajomba zake, mshawahi kuuliza kuhusu baba zake?

Tumpe muda afanye kazi
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Wewe umetuthibitishia kuwa una damu ya Kitanzania?
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Wajomba zake wako Oman.
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Jihad huyo kuua kwake ni sunna
 
Back
Top Bottom