Hivi Rais Samia ana damu ya kitanzania kweli?

Hivi Rais Samia ana damu ya kitanzania kweli?

Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Ana damu ya Kizanzibar; hana ya Kitanganyika
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Muuaji huyo si mtanzania, hana akili hata kidogo.
 
Huyu ana damu toka Oman 🇴🇲 ndiyo maana anatudharau sana Watanganyika. CCM waiuza Tanganyika utumwani Zanzibar (Oman 🇴🇲)
Mlituvamia na kutuuwa kwa maelfu , hiyo ni karma inawarudia
 
Naombeni tu kuwauliza waungwana.

Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.

Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?

Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.

Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina hii!

Asanteni sana.
Hana, Oman.
 
Damu za watanzania zilizomwagika mbichi kabisa kwenye ardhi hii tukufu, you can name kutoka Mzee Ally Kibao, na wengine wengi ambao hatujui kama wanaishi ama la, unategemea bado mtu awe salama, kauchizi lazima kawatokee watu. Vijana wadogo akina Soka nk, unadhani wazazi wao wanalia kilio cha namna gani kila iitwapo leo? Je unadhani Mwenyezi Mungu haoni vilio vyao? Kuna siku dude litavua nguo hadharani.

Kuna mtu atasema hayo yanayotendeka sio kwa mkono wake, hivyo hiyo hatia ya hizo damu haipo kwenye mikono yake, lakini nawaambia wana heri wale walioagizwa kufanya hayo, maana ni amri walipewa hawakuwa na namna nyingine, lakini huyu aliyepo nyuma ya kila agizo haramu, ipo siku atapata malipo yake mchana kweupe.
 
Ninachojua mjomba wake ni mwarabu na yuko Uarabuni. Ni mzanzibar siyo mtanganyika ndio maana anawatandika wabara bila huruma
 
Back
Top Bottom