Fanfa
JF-Expert Member
- Sep 25, 2009
- 2,390
- 3,722
Ni mtu wa Oman. Alishasema mjomba wake ni mfalme wa Oman na alienda kumtembelea alipopata madaraka makubwa.Naombeni tu kuwauliza waungwana.
Mma uhakika kuwa Rais wetu Samia ana damu ya kitanzania.
Hivi hizi kauli na matendo yanayoendelea dhidi ya watanzania zinaakisi kuwa yeye ni mtanzania?
Naona hata kipindi Mbowe anashtakiwa kwa ugaidi ilikuwa ni hali kama hii tu sema hii ya sasa imekumba wengi.
Nikiri tu kuwa sijawahi kuona kujikweza kwa aina
Ndiyo maana anawaita watanzania ni mashetani. Na yule mdogo wake kawaita ni makenge.