Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 3,508
- 4,555
Kama kwenye Bajeti kuu hawakutenga wala kuidhinisha ujenzi wa Ikulu maana yake haipo mfuko mkuu lakini bado itakua hazina. Hakuna katiba iliyovunjwa chief.Katika ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 135(2) ninainukuu kama ifuatavyi "Fedha ambazo hazitawekwa kwenye mfuko Mkuu wa Hazina ya serikali ni zile zote ambazo zimetajwa na sheria kwamba zitumike kwa shughuli maalum" mwisho wa kunukuu
Sasa swali tunalojiuliza hivi pesa za ujenzi wa Makao makuu ya Chamwino hazijawekwa kwenye fungu hilo la Mfuko mkuu wa hazina ya serikali??