Jamani mi ntarudia kila siku pesa zina njia nyingi sana ila njia moja wapo ni universal connection
Hii kuna watu wanatumia kuna wengine hawatumii.
Kina bahati pia.. ila ogopa sana kuna wale wana grow in every year an no step down ni mbele tuu ila ni kwa slowly..
Ukijua universal language wewe upatikaji wako wa pesa hauwi mgumu hvo....
Mi soon ntakua billionaire ila sitosema hii njia nayotumia hata kidogo maana watu wakijua computation itakua kubwa ila pesa zipo kikubwa kuwa na nidhamu ya pesa..
Ukijifanya wee ni wale wa "maisha haya haya"" utakubali show
Ukijifanya unawaza kufa leo au kesho utakubali show...
Mzee wa leo unayemuona now anapambania kombe mpaka umri ule jua nayeye alikua kama wewe hvo hvo.
Pesa zipo tusichoke kupambana..
Kama una akili fatilia mawazo ya
Evelyn Salt huyu ni genius sana...
Japo kuna mda huwa ananizingua sana aliposema nifanye biashara ya kuuza chenji 😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌