Arsenal Gunner
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,891
- 17,696
Hivi unaelewa kwanza ninachokiongelea wewe kwenye mpira huwezi kutoboa Kwa huo umri we umekazana mtafutaji mara sijui nini wewe nenda Kabebe sembeMtafutaji hana kitengo popote kambi mkuu assume naambiwa niende ujerumani nikakichape nitakataa?
Pm namba ya huyo jirani yako mkuuJirani yangu hapa ni Mbrazil alikuwa anabeba box miaka
Akapata mchongo huo kapiga trip tatu kafanikiwa zote
Ile nyumba aliyopanga kainunua na amenunua Pub na Hotel
Amesema kama maisha ndio haya basi nimeyafikia
Harudi tena kwenye sembe
Watoto wamekuwa sasa
Maisha haya
Nacheka kama mazuriNaomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha
Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?
Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi
Karibuni
Hapo nimekutolea mfano wa umriHivi unaelewa kwanza ninachokiongelea wewe kwenye mpira huwezi kutoboa Kwa huo umri we umekazana mtafutaji mara sijui nini wewe nenda Kabebe sembe
Sasa umetolea mfano wa umri ambao Kwa vijana wa kitanzania bado wanajitafutaHapo nimekutolea mfano wa umri
Miaka 30 ni mingi sana kuna baadhi ya madili huwezi fanya ndio maana nikasema umri unanitupa mkono nikiwa fukara hohehahe
Kutoboa ni akili Yako mzee unaweza kutoboa hata Kwa siku 1 tuKwahiyo wanihakikishia baada ya miaka kumi mbele nitakuwa nimetoboa
Usilalie bahati ya mwenzio, kulala mlango wazi oohooooPm namba ya huyo jirani yako mkuu
Kosa lako ulikuwa unatumia nguvu bila mipango ndipo ulipokuwa unafeli.Nimeenda migodini nimepiga veni na kanyero za kutosha sijapata pesa
Nimeingia porini kata miti na mbao sikupata pesa
Nimesoma hadi chuo pia olaa
Biashara ya uwakala, mitumba, viatu, viwanja, nyumba kote sijapata pesa
Oya pesa inapatina wapi mazee
Sio kila mwenye Pesa ni pesa zingine ni za mashetani .Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha
Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?
Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi
Karibuni
Zamani sana, ukimuona ana Bentley lake na wife anasukuma RangeKwahiyo kaacha biashara ya sembe
Fursa zimeisha za sembeJirani yangu hapa ni Mbrazil alikuwa anabeba box miaka
Akapata mchongo huo kapiga trip tatu kafanikiwa zote
Ile nyumba aliyopanga kainunua na amenunua Pub na Hotel
Amesema kama maisha ndio haya basi nimeyafikia
Harudi tena kwenye sembe
Watoto wamekuwa sasa
Maisha haya
Alifikia malengo na hakuwa na tamaaFursa zimeisha za sembe
Ndo maisha ayo tamaa zipungueAlifikia malengo na hakuwa na tamaa
Yaani kweli ata tapeli anakamatwa Kwa ajili ya tamaa tuZamani sana, ukimuona ana Bentley lake na wife anasukuma Range
Alipofanikiwa tu akanunua hizo biashara
Arudi tena adakwe wakati kaishafikia malengo
Wengine huwa wana tamaa mpaka washikwe, kila mara anasema hii ya mwisho
Anachezea hela zikiisha anarudi tena mwisho ananyongwa
Kwenye kusaka pesa nguvu na akili vyote hutumika na lazima uingie kwenye bato uone kama kweliKosa lako ulikuwa unatumia nguvu bila mipango ndipo ulipokuwa unafeli.
Yaani wewe ulikuwa unafanya kitu kwa kukariri au kwa kusikia watu wengine kwamba mgodini kuna pesa sana kisha unakurupuka unaenda baadae unagundua hakuna hela.
Kumbe pesa iko mahali popote ulipo ukiweza kuchekecha ni kitu gani ni changamoto katika maeneo ulipo.
Kwahiyo wanihakikishia baada ya miaka kumi mbele nitakuwa nimetoboa