Hivi ni sahihi kusema binadamu wote ni sawa?

Hivi ni sahihi kusema binadamu wote ni sawa?

Hmaster

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
346
Reaction score
86
Kama ni sahihi je idadi ya matundu mwilini mwa he na she ipo sawa?
Kama si sahihi
a. je nani ana matundu mengi zaidi?
b. taja jina la tundu ambalo limeleta utofauti huo na kazi ya tundu hilo.
 
He na She wana idadi sawa ya matundu:
Masikio - 2
Macho - 2
Pua - 2
Mdomo -1
Haja kubwa -1
Haja ndogo - 1
____________
Jumla: 10
____________
Pengine nimesahau tundu jengine?
Matundu yote yana kazi sawa.
 
Mkuu she amezidi matatu, mawili ya maziwa halafu na kule he anakoingiaga maana la mkojo la she haliko kule liko hapa kwa juu juu
Naomba uboreshe zaidi maelezo yako, kuna utata wa usawa wa binadamu hapa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom