Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
Nasikia eti wanawake wanaopenda kunyonya vidole huwapagawisha wanaume wakikutana nao hadi wanaume wengine huamua kuwatongoza hata kama hawakupanga.
eti wanaume huzimika na unyonyaji wa hivyo vidole hadi akili zao zote kuamishia kwenye mapenzi.
mie huwa sipendi hawa wanawake wenye akili timamu kunyonya vidole,ila kama ni kweli wanaume wanadata,itabidi nami nijifunze ati....!
wapwa nisaidieni ili kama vipi nianze mazoezi mapema................!
eti wanaume huzimika na unyonyaji wa hivyo vidole hadi akili zao zote kuamishia kwenye mapenzi.
mie huwa sipendi hawa wanawake wenye akili timamu kunyonya vidole,ila kama ni kweli wanaume wanadata,itabidi nami nijifunze ati....!
wapwa nisaidieni ili kama vipi nianze mazoezi mapema................!