Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Hii ndo jeiefu mkuu🤪🤪🤪Ila avatar na jina kidogo vinanipa wasiwasi
Hii ndo jeiefu mkuu🤪🤪🤪Ila avatar na jina kidogo vinanipa wasiwasi
Bas itoshe tu kukupa hongera kwa kumiliki rungu,maana linatupa hadhi sanaa hili dubwana ukiweza kulitumia vzurHii ndo jeiefu mkuu🤪🤪🤪
Sanaaaaaa Chief.pamoja sana MwambaBas itoshe tu kukupa hongera kwa kumiliki rungu,maana linatupa hadhi sanaa hili dubwana ukiweza kulitumia vzur
Dah! Kwa hiyo jimbo lipo wazi saivi tugombee?Mahusiano yaliyeyuka juani
Nimemalizia hapa kijiti cha 3bado mpka sasa unatafuna nyasi na kubet
Jizazi 🤭🤭🤭🤭sikuwez kaka mangiNimemalizia hapa kijiti cha 3
Kesho natia laki 3 kwa yanga
Kumpenda na kumpa peace of mind mwanamke wa kibongo ni sawa na kumpa madaraka kichaa, ipo siku atafanya usiyoyatarjia 😂😂😂Kumbe ndo mana mnatutesa wanawake wengine ambao hatuna hatia kwa makosa ya hao wanawake wenu wasiowaaminifu😢😢😢😌😌😌msitufanyie hivyo mnatutesa sana.mwanamke akionyesha kukupenda mpende na wewe.kuliko kutuhukumu kwa makosa ya wanawake wengine.😭😭😭😭
Hapana..asanteDah! Kwa hiyo jimbo lipo wazi saivi tugombee?
Shida ni hapo anapokufa na kuoza ndio mwanamke nae anapoanza vimbwanga, usumbufu hauishi kwenye simu. Yani unashangaa mtu mliekubaliana upendo mwanzoni amejisahau kabisa drama kibao tena kidume unaeza onekana mlalamishi kumbe lidemu limeshaanzisha affair kwa siri!I once thought like that until when I met my soulmate.
kama umekuwa ukikutana na wabomoa mioyo kweli hutakaa uamini kwenye mapenzi ya kweli na ya kufol dipu.
Ninaamini yapo mapenzi ambapo mtu anajikuta amekufa ameoza hana pa kutokea.
Mimi sio pisi mwambaa😅😅😅mimi ni mwanamke wa ukanda wa kaskazini😅😅😅😆😆😆Kwani we ni mwanamke wa kibongo mama we si pisi ya chuga?!😝
Jaman mbona mnahukumu wanawake wote...🥺🥺🥺Shida ni hapo anapokufa na kuoza ndio mwanamke nae anapoanza vimbwanga, usumbufu hauishi kwenye simu. Yani balaa tupu.
Majority hawaelewagi nini kupendwa, thats what happens..Yani ukimkea sana mwanamke anakuona zwazwa.Jaman mbona mnahukumu wanawake wote...🥺🥺🥺
Hahahah yechu yechu arif 😂😂😂Mimi sio pisi mwambaa😅😅😅mimi ni mwanamke wa ukanda wa kaskazini😅😅😅😆😆😆
😂😂😂😂Pole😂 lakini hivyo vyote ungemkomalia akaacha.Si kweli kabisa.
😃😃kuna mtu moyo wangu ulimdondokea nyang’anyang’a mda mwingi Namuwaza yeye tu🤪🤪mjinga yule kumbe yeye anapenda bangi nakuwaza kubet nilikuwa sijui aise😆😆😆😆
Acha ukauzu we mpare.Kumpenda na kumpa peace of mind mwanamke wa kibongo ni sawa na kumpa madaraka kichaa, ipo siku atafanya usiyoyatarjia 😂😂😂
Hahahah wanauzi hao acha tu 🤣🤣🤣Acha ukauzu we mpare.