Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,545
- 6,086
Kama kichwa kinavyo sema wakuu, kumekuwa na maneno mengi kuwa zile nyakati za mtu kupenda kupindukia zimesha pitwa na muda.
Eti wanadai siku hizi mapenzi yamekuwa bora liende tu ili kusogezeana siku tu. Hii imekaaje wakuu kuna ukweli wowote hapa au ni maneno ya wahuni tu na walio kata tamaa ya kupenda/kupendwa?
Eti wanadai siku hizi mapenzi yamekuwa bora liende tu ili kusogezeana siku tu. Hii imekaaje wakuu kuna ukweli wowote hapa au ni maneno ya wahuni tu na walio kata tamaa ya kupenda/kupendwa?