mind ur business
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 416
- 414
Wakike wa hivi bado mpo tu.. mm e nlidhani walipotelea kwenye mv nyerere..halafu wewe kuna mtu nakufananisha nae......haki vilee.
asee ukipenda kwa kujistukia ujue ipo siku kweli uytatendwa.
me ngoja nibaki na ngosha wangu japo sijui kama kweli hatabadilika. akibadilika atajiju mwenyewe. me bora nitimize wajibu