Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,484
- 19,517
Kama mlipa Kodi ni vema kuangalia watumishi wetu tunawalipa kiasi gani hususan sasa hivi ugumu wa maisha umepanda huenda ni wakati wa kufunga mkanda... Ukizingatia Rais anapewa kila kitu (magari, nyumba n.k.)
Sasa katika pita pita zangu nikaona hii....
Magufuli, who was elected president in 2015 on a pledge to tackle corruption, made the disclosure during a speech broadcast live on state television on Tuesday.
“My salary is nine million (Tanzanian Shillings). I have not increased my salary and I will not increase it. Because my obligation is to serve Tanzanians first.
Ingawa hili likanitia shaka kwmba mshahara wa Rais ulishuka lini Sababu.....
Magufuli’s salary is a third of what former president Jakaya Kikwete was reported to be earning during his ten-year tenure as leader of East Africa’s most populous country.
Sasa kama hapo juu JPM alisema kwamba hajaongeza mshahara wake na hataongeza inamaanisha anaweza kujiongezea... Ndio hapo najiuliza; Huyu wa Sasa tunamlipa ngapi ?
Sasa katika pita pita zangu nikaona hii....
Magufuli, who was elected president in 2015 on a pledge to tackle corruption, made the disclosure during a speech broadcast live on state television on Tuesday.
“My salary is nine million (Tanzanian Shillings). I have not increased my salary and I will not increase it. Because my obligation is to serve Tanzanians first.
Ingawa hili likanitia shaka kwmba mshahara wa Rais ulishuka lini Sababu.....
Magufuli’s salary is a third of what former president Jakaya Kikwete was reported to be earning during his ten-year tenure as leader of East Africa’s most populous country.
Sasa kama hapo juu JPM alisema kwamba hajaongeza mshahara wake na hataongeza inamaanisha anaweza kujiongezea... Ndio hapo najiuliza; Huyu wa Sasa tunamlipa ngapi ?