Tt4tat boy
Member
- Nov 26, 2015
- 45
- 10
Udom ,no chuo bora na elimu yake ni bora zaidi nilivyo kuwa mtaan kabla ya kujiunga na huo hiki nami niliamini hivyo lakini so kweli hapa ni kazi tuu haina kulemba ,kama unabisha njoo ujionee au Fanya research fupi utapata majibu,, kumbuka anae dharau chuo hiki hajielewi kabisa ama ndo wale wanao linganisha chuo kimoja na kingine na hawana logic ya msingi binafsi.