FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,261
- 41,029
Japo ni chuo kikubwa na cha kisasa mno barani Afrika chuo hiki kinadharaulika mno kitaaluma. Kuna tangazo moja la kazi lilikuwa linasema kwamba.., kigezo moja wapo ili mtu aweze kupata hiyo ajira ni kwamba "asiwe amehitimu kutoka Udom.