FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,969
- 109,389
Nenda kamuulize JPM kama habari ni ya kweli au la?
Wewe unashindwa nini kumuuliza? Kamuulize utuletee majibu.
Nenda kamuulize JPM kama habari ni ya kweli au la?
hicho ni chuo cha kata, kinapokea vilaza. tunaye mhtimu mmoja kila siku anacnzia kazini.
Umenena vyema Maulidi [Itatizo tunalinganisha udom na udsm. itachukua muda kwa udom kuwa juu kama udsm kwa sababu hata udsm nayo ilianza kama udom. lakini cha ajabu unakuta mtu anasoma sauti au tumaini halafu anajilinganisha na wa udom ambae ana sifa zote za kusoma chuo bora tanzania(udsm). wanafunzi wengi wa udom waliomba chuo kama udsm na mzumbe kutoka na kukidhi vigezo vyao sema kilichowabana ni intake capacity ya chuo husika ila kiukweli wanafunzi wa udom ni wale waliofahulu vizuri pia advance na o-level.
Udsm haikuwahi kupokea watu hawana sifa wakati inaanza usingelithubutuUmenena vyema Maulidi [I
Are you sure?????????Udsm haikuwahi kupokea watu hawana sifa wakati inaanza usingelithubutu
Hapana wako chini ya kiwangoFRANSIS acha kupotosha umma,wahtim weng wa chuo hik wanaheshimika sana makazin kwa perfomance nzuri.Acha chuki za waz
KATA YA NG'ONG'ONA NA SOCIAL SCIENCEKata gani??