KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
KakaJambazi si sawa unaonekana mbabe mpaka kitandani wewe..
Sijasema kwa nia ya eti nimshurutishe aniamkie, makabila mengi hasa ya kanda ya ziwa wanaume huamkiwa.
KakaJambazi si sawa unaonekana mbabe mpaka kitandani wewe..
Wizi mtupu!
Wizi mtupu!
Sio wizi. Hata mke kabisa huwa anasalimia.
sasa miaka 26 unaoa 60+ ukikutana nae utamwambiaje?
Nina kadem kangu nakazidi sana age. Sasa tukikutana au tukiongea kwa simu utasikia "shikamoo baby!" Huwa naingia bafuni nacheka wewe. Naona kama komedi.
Kusalimia shikamoo mpenzi wangu siwezi!!
Hahaa...Basi ujambazi KakaJambazi.Sio wizi. Hata mke kabisa huwa anasalimia.
shikamoo bibi, kwi kwiiii, kwahhsasa miaka 26 unaoa 60+ ukikutana nae utamwambiaje?
kkwa hiyo usiku umepiga mzigo alafua asubuhi anakwambia "shikamoo baby" ha ha ha ha me siwezi si sawa
unamuamkia shikamoo mtu anayeenda naye kwa bed!!!!!!!!!!!!!mi sifanyi huo ujinga. kama unamzidi kwa nini akubali muwe wapenzi??
Jamani acheni kuutesa mtima wangu kha!Inamaana heshima inapotelea kwenye shuka kitandani au?Inakuwaje kama unapiga kazi na Mwl wako mwanaume na anakufundisha darasani kama sec ..vile akiingia wakati wengine shkaamooo mwaaalimu wewe unakuja na swaga haabaaari mwaaalim!Mimi huwa najisikia aibu kwani hiyo ni dalili tosha kwamba una-derail.Asa wewe ni fataki utaki treatment za kifataki?Any way Mkirua kapfoo .uwe mcha cha kacha.Wizi mtupu!