Hivi neno makebo ni lugha gani?

Hivi neno makebo ni lugha gani?

Mkuu uliowabahatisha hawakutoshi tu mpaka namimi niwe kundini ndio urudhike😅
Hapana Seran, sina yeyote niliyembahatisha siyo hapa JF au popote pale. Niamini—ni wewe tu niliyekufa kwako.
Sasa bebi, je DM yako itakuwa wazi leo?
 
Check kebo hizo
 

Attachments

  • FB_IMG_1783747945805.jpg
    FB_IMG_1783747945805.jpg
    67.3 KB · Views: 7
Back
Top Bottom