Hivi neno makebo ni lugha gani?

Hivi neno makebo ni lugha gani?

Screenshot_20260710_120444_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_120428_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_120420_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_115409_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_114503_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_120407_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_115448_Gallery.jpg
Screenshot_20260710_114303_Gallery.jpg

👆🏾
 
Lilianzia hapa....

Cabbages - Kabeji - makabeji - wengine wanaita makabichi! Likakua na kuongezwa manjonjo na kufupishwa kuwa keboz, then kebo na wingi wake makebo tukatulia hapo!
Unataka kusema nini mdau?

Kwamba tulipotulia hapo unataka kuiambia kadamnasi yote hii ya JamiiForums kwamba Makebo siyo makalio makubwa kama tunavyoamini sisi bali ni Kabeji?
 
Back
Top Bottom