Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Wasabato wenyewe kama wasabato hawajielewi wako kundi gani,tafuta msabato yeyote umuulizie, mpe dak 15 aeleze misingi ya usabato,akiweza kutumia dak 4 bila kutaja Papa na kanisa katoliki,nitafute nikupe zawadi ya mwaka mpya mkuu
 
Dogo unahitaji elimu ya kujitambua ili ueleweshwe usivyovuekewa kuhudmsu ukatoliki
Nielimishwe nini ? Hata mtoto mdogo anajua hii ni ibada ya sanamu
d0aa9cc90c88107a1c2086b3b0341e5d.jpg
 
Romani katoliki ndo baba wa wakristo. Wasabato ndo nahisi si wakristo. Pole sana kaka yangu naona unatumia nguvu nyingi. Hata iconoclasm naona kwako ni shida. Ila abudu kadri unavyoona inafaa!
Usiuchafue ukristo

Sema ni baba wa upagani

adf2316b90c94ff4dbef52bb2e8408ab.jpg
 
Wp waliandika sabato ni jumamosi karenda imekuja juzi ishu ni siku ya saba unaweza ukafanya hata jumatatu fanya kazi siku sita ya saba pumzika umeambiwa wewe na sio kanisa sema ki staharabu watu wamekubaliana ipi iwe siku ya saba ili tusali wote kwa pamoja basi kama unatafuta kalenda kwenye bibilia bora uendelee kuubiliwa na wachungaji wenu na uandike kwenye karatasi
 
Wp waliandika sabato ni jumamosi karenda imekuja juzi ishu ni siku ya saba unaweza ukafanya hata jumatatu fanya kazi siku sita ya saba pumzika umeambiwa wewe na sio kanisa sema ki staharabu watu wamekubaliana ipi iwe siku ya saba ili tusali wote kwa pamoja basi kama unatafuta kalenda kwenye bibilia bora uendelee kuubiliwa na wachungaji wenu na uandike kwenye karatasi
Imekuja juz au wewe ndio umekuja juz?

Nenda israeli waliopewa maagizo na Yehova , jumamos ni sabato

Nenda kwa waarabu , Jumamos ni sabato

Nenda kwa Waroma , jumamos ni sabato

Kalenda zote dunian jumamos ni SEVENTH DAY
 
Imekuja juz au wewe ndio umekuja juz?

Nenda israeli waliopewa maagizo na Yehova , jumamos ni sabato

Nenda kwa waarabu , Jumamos ni sabato

Nenda kwa Waroma , jumamos ni sabato

Kalenda zote dunian jumamos ni SEVENTH DAY
Waliambiwa na musa au umesima kwenye mstari wa bible we uliyekuwepo B.C naomba kitabu gani nipe haya nikasome na mi nijilishishe mana bible sio gazeti au hadithi ya shigongo na iseme ivo jumamosi sabato asante nasubiri ndugu nipate elimu kama mchungaji wako alisema basi muombe mstari huo kasoma wapi au kama umeandikwa israeli na sio kwenye kitabu basi hao ni watu wa israel na sio mungu
 
Acha kunisomesha vitabu vyenu mlivyogeuza maneno na we tafuta vitabu kwenye lugha ya kingereza kwa mistari hiyo hiyo soma alafu uone iko sawa
 
Huyu alieandika huu uzi ni msabato. iv kwa nini wasabato cku zote wamekaalia kisema roman catholic na bado roman imesimama imara na awaachi iv shida yao ni nn jaman
 
Acha kunisomesha vitabu vyenu mlivyogeuza maneno na we tafuta vitabu kwenye lugha ya kingereza kwa mistari hiyo hiyo soma alafu uone iko sawa
Eti vitabu vyetu

Hiyo ni biblia imechapwa na kanisa la roma
 
Si bora angeingia kutuombea?? Wanakwambia mwaka ule 1844 Yesu alipotea njia kwa bahati mbaya akaingia patakatifu hekaluni...Tangu lini mbinguni kukawa na hekalu...?? Halafu jiulize Yesu anatuombea kwa nani angali Yeye ni Mungu..?

Wanakwambia aliingia huko eti kufanya hukumu ya upelelezi(Investigative Judgement)...Tangu lini Yesu anafanya upepelezi..?
Wasabato ni vichaa..

Mr. Mangi
Negative mind tatizo hutaki kujifunza ila upo kupondea
 
Elimu yako ni ndogo sana, hauna data za kutosha unaandika vitu juu juu, fanya tafiti uje na hoja yenye ushahidi, unachojaribu kuandika ni story za vijiweni.
 
Ndugu hata huu ushahidi wa Roma kumuita papa cheo cha MUNGU BABA MTAKATIFU nalo unapinga?

b7ce507913231d618ffc52d3b8def47e.jpg

Nashangaa wewe kujiita jina Aaron! Aaron wa madhebu gani ya kikristo i.e jina lako limetoka kwenye biblia tunayo ijua sisi au kwenye vitabu vya Wahindu, Wabudha, Washinto au Waislaam(Haruna) hapa unajitia kuuma na kupuliza unafikiri watu hatuna akili za kutambua lengo lako ni nini hasa na madhebu yako ni yapi - huna hata guts za ku-reveal your true identity reliongwise.

Huko obsessed na sanamu sijui vinyago wewe kama binadamu umepewa mamlaka gani na Mungu ya kuwasemea binadamu wenzako au kukashifu Dini za wengine kwamba wamepotea? Mimi ni Mlutheri hatumpi uzito Bikira Maria tofauti na wenzetu Wakatoliki kuna mambo/misimamo midogo midogo ambayo tunatofautiana, lakini hilo ulitufanyi kuzunguka huko na huko kuwasema vibaya au kutunga stori za kubuni tu ili kuonyesha ubaya wao, mnapenda penda sana kuwasema sema Wakatoliki, sikatai wenaweza kuwa na mapungufu yao lakini hayo sisi yanatuhusu nini mpaka mnayavalia njuga - kawalazimisha nani mjiunge na dini ya Kikatoloki mnajaribu kuwatisha watu sijui mna ajenda gani ya siri.

You have one thing in mind, how to get even na Wakatoliki, kwa nini Dini hii moja inawakosesha usingizi? Mbona kuna Dini chungu mzima zinaabudu vitu kama Ng'ombe(Wahindu), Sanamu ya Budha(Majority ya wakazi wa far east), Mwezi (Waisilaam), Wahindi wekundu na Aboriginals wote hao wana imani zao - mbona hao amuwasemi.

Tukija kwenye suala ya umwagaji Damu, historia inaonyesha hakuna Dini ambayo haijawahi kupitia katika umwagaji damu na ukatiri wa aina fulani mfano kuwochoma moto wachawi wakiwa wamening'inizwa mitini hayo yalikuwa yanafanyika huko Ulaya, mashariki ya kati na mashariki ya mbali nao walikuwa na mambo yao ya ndiyo sivyo.
 
Ni wanafiki sana hawa sabato siku zote ujifanya wema mhh basi bwana ! Ila hata wafanye nn catholic haiwezi kuyumba ata kidogo.
 
Back
Top Bottom