Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Uko vizuri mkuu big up. SDA eschatology unaijua vizuri. Na watu kama wewe wanawaogopa kama ukoma. Hapa hawajaribu na wakija ni mauzauza tu! Ukweli they are not Christians!
Wasabato wenyewe kama wasabato hawajielewi wako kundi gani,tafuta msabato yeyote umuulizie, mpe dak 15 aeleze misingi ya usabato,akiweza kutumia dak 4 bila kutaja Papa na kanisa katoliki,nitafute nikupe zawadi ya mwaka mpya mkuu
 
Hapo ndipo utapogundua usabato sio dini wala dhehebu it is just a pressure group against Catholicism
 
Wasabato wenyewe kama wasabato hawajielewi wako kundi gani,tafuta msabato yeyote umuulizie, mpe dak 15 aeleze misingi ya usabato,akiweza kutumia dak 4 bila kutaja Papa na kanisa katoliki,nitafute nikupe zawadi ya mwaka mpya mkuu
Sio kweli
 
Mkuu, hiyo post ni kweli tupu...

Wasabato hawaamini ufufuko wa Yesu...Kitendo cha mama Ellena White(sorry, Bibi Ellena White) kusema kazi aliyoifanya Yesu pale msalabani ni bure, na kuwa ameenda patakatifu pa patakatifu(kufuru hii) kufanya hukumu ya upelelezi ni ishara Wasabato sio Wakristo ila ni Wapinga Kristo ....

Wasabato ni laana iliyoletwa duniani na Bibi Ellena White...

Wewe tangu lini dhehebu lianzishwe na mwanamkr aliyekuwa kichaa tena chini ya uangalizi wa madaktari wa magonjwa ya akili..??? Inasikitisha sana
Mh, naomba na quotation ya kitabu ambacho White kasema Yesu alifanya kazi bure pale msalabani plz.
 
Mh, naomba na quotation ya kitabu ambacho White kasema Yesu alifanya kazi bure pale msalabani plz.
Kusema Yesu yupo anafanya hukumu ya upelelezi alitaka kumaanisha nini...? Anampeleleza nani..? Kazi ya Yesu imekuwa kupelekeza..???

Kama anapeleleza, je! Kwanini alikufa msalabani na kusema "Yametimia".... Huo upelelezi ni wanini tena angali Yesu keshamaliza pale msalabani...???

Halafu, huyo Bi Ellena mambo ya upelekezi aliyatolea wapi..?? Huu ujinga aliutolea wapi..?
 
Kusema Yesu yupo anafanya hukumu ya upelelezi alitaka kumaanisha nini...? Anampeleleza nani..? Kazi ya Yesu imekuwa kupelekeza..???

Kama anapeleleza, je! Kwanini alikufa msalabani na kusema "Yametimia".... Huo upelelezi ni wanini tena angali Yesu keshamaliza pale msalabani...???

Halafu, huyo Bi Ellena mambo ya upelekezi aliyatolea wapi..?? Huu ujinga aliutolea wapi..?
Kama huamini kwamba kuna hekalu la mbinguni na Yesu mpatanishi wetu anatuombea akitupatanisha kwa na huwezi elewa lakini ndugu inaonesha una ufahamu wa ukweli unaoupindisha kwa makusudi sijui ni kwa faida ya nani anyway uwongo mkuu ndio tatizo la siku za mwisho na nyie mmeapa kutolala hadi mpotoshe ulimwengu wote unabii wote unaeleza hayo.Ninakuombea ili Mungu akikufunulia ukaongoka uwaimarishe na ndugu zako.
 
Kama huamini kwamba kuna hekalu la mbinguni
Kwa mujibu wa nani..? Mbinguni kuna hekalu lipi..? Nani kasema kuna hekalu mbinguni.. ??
na Yesu mpatanishi wetu anatuombea
Yesu kufa msalabani ndio upatanisho huo .Damu yake iliyomwagika ndio upatanishoo huo...Huo mwingine sijui umeutolea wapi..?
na huwezi elewa
Kwanini unasema siwezi elewa..? Umejuaje..?

Ninakuombea ili Mungu akikufunulia ukaongoka uwaimarishe na ndugu zako.
Anifunulie kuhusu nini...? Kuwa bibi Ellena alikuwa si kichaa
 
Ukitaka Kuwamaliza Wasabato Waambie Wakusomee Wakolosai 2:16 Na Kuendelea!
 
Wasabato wanajumuishwa na hao wengine na wanatambuliwa kama mojawapo ya Christian cults zilizofanikiwa sana. Mojawapo ya mafundisho yao yanayopingana na Biblia ni hili: Wanaamini kuwa Yesu hakukamilisha kazi ya wokovu pale msalabani na kuanzia mwaka 1884 aliingia Patakatifu pa Patakatifu (Holly of Hollies) kuendelea kutuombea mbele ya Mungu Baba. Halafu wana kiherehere cha kutabiri kila jambo linalotokea duniani na kulihusisha na unabii. Yaani ukiwasikiliza aisee hutaweza kuishi. Ndiyo maana mwaka 1884 mwanzilishi wao aliwarubuni wafuasi wake kuwa mwaka huo Yesu anarudi wakauza kila kitu kumbe uwongo. Baadaye ndiyo ikasahihishwa kwamba mwaka 1884 haukuwa wa kurudi kwa Yesu bali ni Yesu alikuwa anahamia kwenye chumba cha Patakatifu pa Patakatifu huko mbinguni tayari kuanza kazi ya kutuombea mbele ya Mungu Baba.

Wanaweka msisitizo usio na sababu juu ya sheria za Musa hasa juu ya vyakula na ushikaji wa Sabato. Hakuna kula samaki wasio na magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika au wasiocheua na siku ya Sabato hairuhusiwi hata kupika. Msisitizo huu katika sheria za Musa hata Yesu aliukemea mara nyingi na alikuwa na ugomvi wa muda mrefu na Mafarisayo. Ndiyo maana aliwakemea walipomzonga baada ya kumponya mtu siku ya Sabato na kumwambia ajitwike godoro lake aende.

Wanadhani kuwa kushika sheria hizi ndiyo kutawaokoa na wanadhani kuwa kwa kushika misheria hii ya Musa basi wao ni watakatifu kuliko Wakristo wengine. Kumbe Biblia na Yesu mwenyewe walifundisha kinyume chake. Yaani ni mvurugano mtupu lakini wanaamini kuwa wao ndiyo watakatifu pekee watakaokwenda mbinguni.
Ntuzu bana...

Mama G White unajua alikuwa kichaa...?
 
Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.

Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.

Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.
Wale waliitwa sabato masalia.sijui waliishia wapi wale jamaa. Wakati wanatimuliwa airport walikua wanacheka tu kuonesha kuwa hawako serious na imani yao.
 
Back
Top Bottom