Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Sasa hapo kuna uongo gani mkuu??? Kuwa Binti Ellen hakuwai kupata matatizo ya ubongo..?

Kuwa mama Ellen G White hakupata njozi za kusema alipelekwa mbonguni...? Au kile kitabu cha hukumu ya upepelezi ni cha uongo..?
Hukumu ya upelelezi ni hakika na inatuhusu sote. Soma Ufunuo 14:7-9. Kupinga kwako hukumu ya upelelezi ni udhibitisho kuwa hujui maana ya kifo cha Yesu pale msalabani. Ndio maana nakusihi unyenyekee chini ya Msalaba wa Kristo akufunulie ukweli wa hukumu yake na huduma ya hekalu la Mbinguni kama Mtume Paulo alivyoonyeshwa katika kitabu cha Waebrani 9 .Pia Yohana aliliona hekalu la Mbinguni katika Ufunuo.
 
Wewe unahainga sana kama chiriku jike anayetaka kutaga....Uta-copy na ku-paste lesson zote leo....
Uchiriku ni huu kuabudu sanamu

082fa441fc6e1e490201388c75295e6a.jpg
 
Kwahiyo Yesu aliteswa na Warumi...? Hii ni mupya ya mwaka 2017...,

Kumbe wale Mafarisayo na Masadukayo na Waandishi walifanya plot ya kumuua Yesu kumbe walikuwa Warumi .? Hii labda ipo kwenye ile biblia ya Kisabato...Aiseee!!! Kituko njoo ona maajabu huku....

Daah! Naomba nikuulize! Ulishawahi ugua kichaa...??

Kazi wanayo kaka, wao mafundisho yao ni yale yasiyo ya Kikristo, yaani wao ni Roman empire, Papa wakitoka hapo ni Ufunuo, Daniel wamemaliza kazi, sasa watakuwaje Wakristo kwa njia hizo? Ndio maana vitu basics kabisa huwa hawavijui, Yaani Mkristo kweli hajui ni nani aliyemuua Yesu?
 
Kazi wanayo kaka, wao mafundisho yao ni yale yasiyo ya Kikristo, yaani wao ni Roman empire, Papa wakitoka hapo ni Ufunuo, Daniel wamemaliza kazi, sasa watakuwaje Wakristo kwa njia hizo? Ndio maana vitu basics kabisa huwa hawavijui, Yaani Mkristo kweli hajui ni nani aliyemuua Yesu?
Huu ndio ukristo eti?

Achen kuudhalilisha ukristo

8e86fe1db2e904321dab6935c4c80ca7.jpg
 
Kazi wanayo kaka, wao mafundisho yao ni yale yasiyo ya Kikristo, yaani wao ni Roman empire, Papa wakitoka hapo ni Ufunuo, Daniel wamemaliza kazi, sasa watakuwaje Wakristo kwa njia hizo? Ndio maana vitu basics kabisa huwa hawavijui, Yaani Mkristo kweli hajui ni nani aliyemuua Yesu?
Ila nimegundua these guys are so desperate...

Tuwaonee huruma tuu...

Hebu ona huyu alichoandika....Eti Ellen Gould White ndio wokovu wao...(Kufuru ya wazi kabisa)
So huo ugonjwa wa kichaa wa Ellen White na hizo ndoto za ukichaa ndio wokovu wetu so wewe inakusumbuwa nini????
 
Kwahiyo Yesu aliteswa na Warumi...? Hii ni mupya ya mwaka 2017...,

Kumbe wale Mafarisayo na Masadukayo na Waandishi walifanya plot ya kumuua Yesu kumbe walikuwa Warumi .? Hii labda ipo kwenye ile biblia ya Kisabato...Aiseee!!! Kituko njoo ona maajabu huku....

Daah! Naomba nikuulize! Ulishawahi ugua kichaa...??
Pilato alikuwa farisayo? Wale maaskari waliomshika na kumsulubisha ni mafarisayo? Maskini vijana wa kikatoliki hawajui Biblia wanasomewa tu misale! Kwa taarifa yako na wenzio, Yesu aliuawa na warumi.Wale wayahudi walimsaliti kwa warumi ili auawe. Jiulize kwa nini Yuda alipewa rushwa ili awaonyeshe Yesu? Sababu ni kuwa warumi hawakumjua Yesu hivyo walitaka uhakika kutoka kwa mtu wake wa karibu. Pole si kosa lako mmekarishwa zaidi misale kuliko Biblia.
 
Tulia kwanza ueleweshwe acha papara kama Otorong'ong'o .Rumi ya kipagani ndio ilikuja kuteka kanisa la wakati huo karne ya 3 wakati mfalme konstantine alipojifanya ameongoka na kusitisha mateso kwa wakristo. Jambo hili lilipokewa kwa furaha lakini waumini hawakujua lengo la mfalme wa rumi ilikuwa ni kujiimarisha zaidi kwa kupitis kofia ya dini na siasa. Taratibu upagani ukaanza kuingia kanisani na idada ya sanamu iliyokuwa inafanywa na rumi ya kipagani ikaletwa kanisani.kanisa na dola ya kirumi ikawa kitu kimoja. Hata Biblia Halisi ikaanza kupigwa vita. Rumi ile iliyohusika kumtesa na kumuua Yesu ikaendeleza mateso kwa wafuasi wake waaminifu.Yapata wakristo milioni 50 waliuwawa na dola ya kirumi na upapa. Muulize Padre wako atakueleza, kwani ukweli huu wanaujua.

Ndo matapishi gani unaniambia! Nani asiyejua inqusition na crusade mpaka nimuulize padre. Padre anasoma historia ya kanisa ili ajue kwa nini mambo yalitokea na nini kifanyike kwa uhai wa kanisa. Huwezi fundisha akili changa mambo haya. Sina haja ya kumuuliza padre. Halafu mnahangaika na wongofu wa konstantino bila kuangalia mwenendo wa kanisa la antiokia na mpango wa mungu wa kuipeleka injili kwa mataifa. Kwa taarifa yako kuanguka kwa upagani wa kirumi ilikua ni utimilifu wa maneno ya yesu "Nendeni duniani kote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe". Mungu ana njia zake na moja ya njia kuu ilikua kutumia warumi ili kuvunja miungu hiyo. Ndo tunampata mtume paulo na baadae maliki constantino. Kwa yeyote anaye jua management yaliyotokea baada ya kanisa kukua hawezi kushangaa. Mambo mengine hatutaki kuwajibu kwa sababu mnaakili changa sana katika mambo ya kiimani na njia za Mungu. Kwa ufupi Mungu hana demokrasia, ni mwenye mamlaka na dictator, anachoamuru mwanadamu lazima ufanye. Hata kanisa halina demokrasia linachoamuru kwa nia nzuri na kwa mapenzi ya Mungu lazima lifanyike. Labda kaka nikusaidie katika crusades zote ambayo ilikua kubwa na ya ndani ya ukristo ilikuwa "crusades of the cathers" hebu nenda ukasome cathers theology halafu uje tuzungumze. Halafu msipotoshe ukweli wengi waliouawa katika crusades na inqusition sio wakristo bali waislamu. "Spanish inquisition na holy land crusades". Hii ilikua ni crash of theological defences. Nyie mnakalia na vihistoria vyenu vya kukaririshwa. Tulia kijana kama nyie ni wayahudi mseme ukweli yesu haja fufuka na ndo mnachofundisha kwa aibu yenu ya milele. Kanisa katoliki halijavunja tu Upagani wa roma bali upagani wa aztec wa Mexco, upagani wa Afrika, red indians, wabudha nao karibu wanatepeta, taratibu japani tumeshaingia, china kama kawa, korea kusini, kaskazini tunawavutia kasi. Tukisha vunja nyie eti ndo mnaingia na kumwaga magugu yenu! Shame. Bado mnadanganya eti kanisa litawaua wasioabudu jumapili! Kuna matapishi yanayo zidi hayo. Ebu niambie msabato hata mmoja ambaye ameshuawa kwa kuabudu jumamosi! Yani nyie mnatia hadi kinyaa!
 
Mnakosa mambo ya kuzungumza au? mna copy copy RAW vitu mnavyo visikia kwenye luninga au kwenye machapisho bila ya kutafakali kiundani waleta habari wana ajenda gani ya siri!
 
Huu ndio ukristo eti?

Achen kuudhalilisha ukristo

8e86fe1db2e904321dab6935c4c80ca7.jpg

Huyo anayebusu Msalaba kama amefanya kitendo hicho kwa kutumainia kuwa huyo ndio Mungu wake basi amepotoka na amekufuru, lakini kama amefanya hivyo kwa heshima ya kutambua kuwa Mwokozi wetu alipitia shida na mateso makali sana kwa ajili ya wokovu wetu na hicho anachokiona ni ishara tu na yupo Mungu amtumainie

Mi mara nyingi huwa nasafiri sana, na mara nyingi nikiwa mbali na nyumbani huwa nabusu Pete ya ndoa kwa heshima ya ndoa yangu na ya mke wangu, lakini pete sio mke wangu na wala ndoa yangu sio pete
 
Ndio Shida yenu hiyo, Ukristo ni Kufa kwa Yesu, Kufufuka kwa Yesu na Kurudi kwa Yesu
Ha ha ha ha

Na hayo masanamu na mavinyago mnayatoa wapi ?

Yanahusiana nini na ukristo?
 
Halafu jamani mnifundishe jinsinya kuweka alama ya like kwenye jf.
 
Ila nimegundua these guys are so desperate...

Tuwaonee huruma tuu...

Hebu ona huyu alichoandika....Eti Ellen Gould White ndio wokovu wao...(Kufuru ya wazi kabisa)
Waonee huruma hawa kwanza waabudu mavinyago na masanamu

0ffdbd79d7d01f465639193f7438c2e8.jpg
 
Mnakosa mambo ya kuzungumza au? mna copy copy RAW vitu mnavyo visikia kwenye luninga au kwenye machapisho bila ya kutafakali kiundani waleta habari wana ajenda gani ya siri!
Ndugu hata huu ushahidi wa Roma kumuita papa cheo cha MUNGU BABA MTAKATIFU nalo unapinga?

b7ce507913231d618ffc52d3b8def47e.jpg
 
hata siku moja dini haimpeleki mtu mbinguni ispokua imani,kwanini useme mabaya ya dini nyingine?? kwanini usitueleze mazuri ya dini yako ili tuhamie huko mpaka unaanza kueleze mambo yasiyo na maana kwa ajili ya dini nyingine
 
Huyo anayebusu Msalaba kama amefanya kitendo hicho kwa kutumainia kuwa huyo ndio Mungu wake basi amepotoka na amekufuru, lakini kama amefanya hivyo kwa heshima ya kutambua kuwa Mwokozi wetu alipitia shida na mateso makali sana kwa ajili ya wokovu wetu na hicho anachokiona ni ishara tu na yupo Mungu amtumainie

Mi mara nyingi huwa nasafiri sana, na mara nyingi nikiwa mbali na nyumbani huwa nabusu Pete ya ndoa kwa heshima ya ndoa yangu na ya mke wangu, lakini pete sio mke wangu na wala ndoa yangu sio pete
Acha kutumia akili yako kutetea IBADA YA SANAMU

Hebu soma Amri ya 2 inasemaje

Tatizo roman mnafundishwa amri za katekisimo sio za BIBLIA
 
Kanisa Katoliki hudai kufanya badiliko la siku ya ibada kutoka Jumamosi (siku ya 7) kwenda Jumapili, siku ya kwanza ya juma.
Kuhusu siku ya Jumapili, Kanisa Katoliki hudai kuwa:
“Sunday is our mark of authority… The [Catholic] Church is above the Bible, and this transference of the Sabbath observance is a proof of that fact” (Catholic Record, Sept. 1, 1923).
“Jumapili ni chapa yetu ya mamlaka … Kanisa [Katoliki] linayo mamlaka yaliyo juu zaidi ya Biblia, na kitendo hiki cha kuhamisha uadhimishaji wa Sabato ni uthibitisho wa ukweli huo” (Catholic Record, Sept. 1, 1923).
Na bado linadai kushikilia msimamo huu hadi leo. Toleo la 1977 la Katekismo ya Waongofu ya Mafundisho ya Wakatoliki (The Convert's Catechism of Catholic Doctrine) lina mfululizo huu wa maswali na majibu:
“Swali: Sabato ni siku gani?
“Jibu: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
"Swali: Kwa nini tunaadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi?
“Jibu: Tunaadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utukufu kutoka Jumamosi kwenda Jumapili” (Peter Geiermann, The Convert's Catechism of Catholic Doctrine (Rockford, IL: Tan Books and Publishers, 1977), uk. 50.
BIBLIA INASEMA
Daniel 7:25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati


ROMANI KATOLIKI INAPOTEZA MAELFU YA WATU
 
Back
Top Bottom