Lyn Vivac
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 858
- 1,017
Kwann ukiuliza wengi dini yao wanasema " mi ni mroma"?Hakuna kanisa linaitwa Roman katoliki Bali kuna kanisa katoliki
Kwann ukiuliza wengi dini yao wanasema " mi ni mroma"?Hakuna kanisa linaitwa Roman katoliki Bali kuna kanisa katoliki
Unaongelea nini mkuu? Soma comment yangu hapo juu inajieleza vizuri kabisa kabisa. Nimekulia katika Usabato na nimesoma karibu vitabu vyote muhimu vya "nabii" wenu mental mama Ellen G. White. Hautakwenda mbinguni kwa sababu wewe ni Msabato!Kwani Nabii Musa alikuwa msabato?kwanini wasabato wanatumia sana kitabu cha agano la kale?pia umesema Musa na Yesu walifundisha mafundisho tofauti lkn Yesu alisema hakuja kutengua torati wala kupinga manabii kwa maana ya kumuunga Musa mkono kwa aliyokuwa akiyafundisha.vile vile umesema Musa na Yesu ni tofauti sasa najiuliza sasa hii kumbukumbu LA torati 18:18 pale inamtabiri nani sasa kama wao ni tofauti?
Tuliondoka mkuu bila passport. mie ni mmoja wao, ila baadaye nilienda Australia kuhubiri neno la Mungu zaidi baada ya kubalikiwa sana.Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.
Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.
Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.
Tuliondoka mkuu bila passport. mie ni mmoja wao, ila baadaye nilienda Australia kuhubiri neno la Mungu zaidi baada ya kubalikiwa sana.Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.
Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.
Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.