Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Kwani Nabii Musa alikuwa msabato?kwanini wasabato wanatumia sana kitabu cha agano la kale?pia umesema Musa na Yesu walifundisha mafundisho tofauti lkn Yesu alisema hakuja kutengua torati wala kupinga manabii kwa maana ya kumuunga Musa mkono kwa aliyokuwa akiyafundisha.vile vile umesema Musa na Yesu ni tofauti sasa najiuliza sasa hii kumbukumbu LA torati 18:18 pale inamtabiri nani sasa kama wao ni tofauti?
Unaongelea nini mkuu? Soma comment yangu hapo juu inajieleza vizuri kabisa kabisa. Nimekulia katika Usabato na nimesoma karibu vitabu vyote muhimu vya "nabii" wenu mental mama Ellen G. White. Hautakwenda mbinguni kwa sababu wewe ni Msabato!
 
Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.

Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.

Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.
Tuliondoka mkuu bila passport. mie ni mmoja wao, ila baadaye nilienda Australia kuhubiri neno la Mungu zaidi baada ya kubalikiwa sana.

ILIKUWAJE TUKAONDOKA PASINA PASSPORT;
Offer ilitoka USA kwa Rais Bill mwenyewe kwa kuombewa na wasabato raia wenyeji wanaoishi huko
. tupo mpaka leo Yesu anawapenda njooni tuhubiri injili mkitaka. Amen!
 
Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.

Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.

Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.
Tuliondoka mkuu bila passport. mie ni mmoja wao, ila baadaye nilienda Australia kuhubiri neno la Mungu zaidi baada ya kubalikiwa sana.

ILIKUWAJE TUKAONDOKA PASINA PASSPORT;
Offer ilitoka USA kwa Rais Bill mwenyewe kwa kuombewa na wasabato raia wenyeji wanaoishi huko
. tupo mpaka leo Yesu anawapenda njooni tuhubiri injili. Amen!
Lakini nasikitika baadhi ya watanzania huko nyumbani nasikia walikufa ghafla baada ya hii habari kuwafikia. poleni kwa huo msiba.
 
Wasabato wanawapa shida sana, hasa ukigusa hawa Warumi weusi, mbona warumi original yaani wazungu RC hawasemi Chochote, hawajalalamika?. nyie ni nani kwanza mpaka mtetee mungu wao ana wahusu nini wakati mmekaribishwa tu. na mnaweza kuondoka mkichoka. kwa Dunia ya leo huo ni uzwazwa kufuru. hata mtetee mpaka mnakesha uchi Vatican mtaisikia tu kule nyani hawaingii kirahisi rahisi, pia mkae mkijua Papa nyani mweusi ni marufuku. aibu sana yaani nyani weusi wa Rome? siyo mimi nasema haohao wazungu wa Rome wanasema. kwa upande wa Islam shida siyo kuubwa km hawa ndugu.

Yesu wenu ni mzungu ni sawa, hatukatai sisi kwa hilo, siyo Yesu wa wasabato, kwani mnafundishwa nini mnapoungama dhambi zenu madhabauni kila jumapili kwa padre? sijui hayaelewi haya majitu? au mnachanganywa? maana hawa jamaa wa vatican kwa elimu ya uongo hawajambo. na mungu wenu wa Vatican siyo Mungu wa wasabato. kwa nini mnaunganisha Mungu wa sabato na mungu wenu? nyie wagalatia mmelogwa au!

Mnajipendekeza kwa Mungu wa sabato si mwende mkajiunge, njia nyeupe ukitubu unakubaliwa, unaenda popote Duniani bila Passport.

Sisi walokole tumetengwa, tumebaguliwa, mnatuzika kabla hatujafa? hamtuzungumziii kwa nini?
 
Back
Top Bottom