Fyengeresya
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 751
- 349
Wasabato sio wakristo bali wapo karibu zaidi na uislam kwa maana principles zao zinaelekeana. Ni wafuataji wa sheria/sharia kuliko hata kristo mwenyewe. Ndiyo maana wanaitwa wa-Adventist wa Sabato, yaani msisitizo wao ni siku ya sabato wakati Yesu Kristo alisisitiza katika upendo zaidi. Hivi umewahi kusikia wasabato wakitajwa na waislam kama wamepotoka?Kwani kuna tofauti kati ya MSABATO NA MKRISTO?labda uje ja hoja zilizo wazi msabato sio mkristo?
