Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24.
Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami
Ni nani huyo muuaji?
(Sikia alichopata kuchosema Baron Deponnat kiongozi mashuhuri wa Ufaransa)
Anasema :-
"Roman katoliki lilizaliwa katika damu likawekewa_ukuta wa damu lilituliza_kiu_yake kwa damu na ni kwa herufi za damu historia yake imeandikwa. Utendaji wao unakwenda bila kuacha mapigo ya mirindimo_ya_viapo vya damu!"

Sasa_hapa_utasema_limejengewaje_kwa_damu?
Mamlaka ya Papa imekuwa ikitekeleza mateso dhidi ya wale wanaopinga madai yake, kama haki iliyopewa na Mungu.
Papa Martin V(1417-1431 B.K) alitoa maelekezo yafuatayo kwa mfalme wa Poland kuhusiana na Wakristo wa kweli waliokuwa wafuasi wa John Huss.

Hakikisha_unawaangamiza_wafuasi_wote_wa_Huss. Kumbuka kuwa watu wenye kukufuru wanathubutu kanuni za uhuru; wanadai

Wakristo_wote_ni_ndugu....wanadai kwamba Kristo alikuja duniani kukomesha utumwa; wanawaita watu wawe huru...

Choma_ua_kwa_wingi,fanya mahali pawe jangwa,kwani hakuna jambo linalokubalika zaidi kwa Mungu/linalofaa zaidi lenye manufaa zaidi ktk wajibu wa wafalme,kama vile kuwaangamiza wafuasi wa Huss."(L.M.de Cormentin, The Public and Private History of Popes of Rome, Vol. III, uk.116-117.

JE_WAMEISHIA_HAPO_TU

"Mapapa pamoja na mawakala wa Kijesuiti, hadi sasa wamekuwa ndiyo wainjiniaji_wa_vita, na wakati ulimwengu ukiugulia maumivu ya kweli,
Roma_hushikilia_shampeni."
Maneno taliyotamkwa na Jeremia J. Crowley (Padri wa zamani wa Kikatoliki).
Romanism: A Manace to the Nation, Menace Publishing uk 144.
Haitoshi
Naye Edmond Paris ameandika hivi:-
"Mtu aweza kusema kwa uhakika kwamba mnamo mwaka 1914 kanisa la Roma lilianzisha_mfumo_wa_vita_vibaya.ilikuwa kwamba, utambulisho wa damu ambayo wakati wote amechukua kwa wanadamu ikaanza kuumuka na kuwa tufani ya kutisha." The Vatican Against Europe, The Wickliffe Press uk 48.

Hivyo_ndivyo_Roma_imetenda_inaenendelea_na_itaendelea kakini atavuna_tu_alichopanda Ufu 9:1-2.
Uliza_kama_hujaelewa_kisha_tutasaidiana
What's app no 0655446552.
Unahangaika sana....

Fanya kazi, ingiza kipato...porojo za mitaani na lesson zitakuangamiza
 
Hapa unaonyesha chukki yako kwa wasabato wala huna hoja ya msingi.kwa hili hulijui utendalo, kwani unatimiza unabii,Mungu akusamehe. Hicho kikundi ulichosema cha watu 600 sio kanisa la waadventista wasabato bali ni kikundi kilichochanganyikiwa kama wewe. Pia sio kila anyeelezea historia ya uasi wa kanisa katoliki ni msabato,historia iko wazi kabisa anayetaka kujua ataelewa tu hata kama hamtaki. Jana nimesikiliza kipindi star tv kuna pastor mmoja sijui wa kanisa gan na wali si msabato aliielezea jinsi kanisa la roma lilivyoingia katika vita dhidi ya wale waliohifadhi Maandiko matakatifu yaani Biblia.Waliwapiga vita waldensia kwa kuwa walitunza Biblia halisi.Huu ukweli ukisemwa bado mtawatukana wasabato? Neema ya Bwana wetu Yesu iwaangaze muutambue ukweli na kuufuata.
We karumekenge umekuja..??

Naomba nikuulize, hivi na nyie Wasabato mnasherekea mwaka mpya wa Kikatoliki 2017..?

Kingine Wasabato nchi nzima mpo pungufu ya 50,000 ila mperanganyika vibaya mno
Kuna Wasabato Masalia
Wasabato Marekebisho
Wasabato Matengenezo
SDA
Wasabato Mapinduzi

Nyie wote ni kundi moja chini ya yule mama aliyekuwa kichaa na kuwa kwenye coma kwa miaka 12, ni bibi Ellen Gould White
 
Kwani kuna tofauti kati ya MSABATO NA MKRISTO?labda uje ja hoja zilizo wazi msabato sio mkristo?
Ukitembelea hata Wikipedia ukiandika world Christian....Hapo utapata list of all Christians denomination

Ila wanaenda mbele wana-specify
"Other Groups that claims also to be Christian"
Hapo zinatajwa cult 4
1. Mormon
2. Seventh Day Adventist
3. Jehova Witness
4. Christian scientology
 
Anaitwa prof walter j veith angalia Youtube lecture zake amefanya research kuhusu maelezo yote na source zote za vatican upapa na ujesuit na NWO agendas freemasons jinsi wanavyoshirikia katika kuhakikisha Uwongo unaaminiwa na wengi...
Lecture iliitwa Battle of the bible wanavyotaka kuichakachua biblia kwa kuleta tafsiri za kipagani na kichawi kwa kuhariri biblia ya king james version.
Eti ile Biblia ambayo Ellen G White Estate inaanda imeshakamilika..? Hiyo biblia itaitwa the Clean Bible ambayo manuscript za Ellen Gould White zitaongezwa
 
Msabato Sio Mkristo...
Mmmh labda ina maana hz tofauti za kutokula kitimoto,kutokunywa pombe na soda ya coka,kutokusuka nywele,kutokuweka marasta,mawigi,kutovaa vimini,kutumia Agano la kale,kutokuabudu sanamu,kutokutumia mkorogo,kuabudu jmosi, n.k ndio vinamfanya msabato asiwe Mkristo,Mpagani,muislam,muhindu n.k yy yupo wapi sasa?kwa uelewa wangu mdogo najua msabato ni moja ya madhehebu ya kikristo,ni sawa na kuniambia mashahidi wa Yehova nao sio wakristo
 
Hapa unaonyesha chukki yako kwa wasabato wala huna hoja ya msingi.kwa hili hulijui utendalo, kwani unatimiza unabii,Mungu akusamehe. Hicho kikundi ulichosema cha watu 600 sio kanisa la waadventista wasabato bali ni kikundi kilichochanganyikiwa kama wewe. Pia sio kila anyeelezea historia ya uasi wa kanisa katoliki ni msabato,historia iko wazi kabisa anayetaka kujua ataelewa tu hata kama hamtaki. Jana nimesikiliza kipindi star tv kuna pastor mmoja sijui wa kanisa gan na wali si msabato aliielezea jinsi kanisa la roma lilivyoingia katika vita dhidi ya wale waliohifadhi Maandiko matakatifu yaani Biblia.Waliwapiga vita waldensia kwa kuwa walitunza Biblia halisi.Huu ukweli ukisemwa bado mtawatukana wasabato? Neema ya Bwana wetu Yesu iwaangaze muutambue ukweli na kuufuata.
kweli kabisa Catholic ilikuwa inauwa, inachinja waasi kwa kipindi hiko... SO WHAT!!!???
 
Ukitembelea hata Wikipedia ukiandika world Christian....Hapo utapata list of all Christians denomination

Ila wanaenda mbele wana-specify
"Other Groups that claims also to be Christian"
Hapo zinatajwa cult 4
1. Mormon
2. Seventh Day Adventist
3. Jehova Witness
4. Christian scientology
Thanx umenipa shule
 
Mmmh labda ina maana hz tofauti za kutokula kitimoto,kutokunywa pombe na soda ya coka,kutokusuka nywele,kutokuweka marasta,mawigi,kutovaa vimini,kutumia Agano la kale,kutokuabudu sanamu,kutokutumia mkorogo,kuabudu jmosi, n.k ndio vinamfanya msabato asiwe Mkristo,Mpagani,muislam,muhindu n.k yy yupo wapi sasa?kwa uelewa wangu mdogo najua msabato ni moja ya madhehebu ya kikristo,ni sawa na kuniambia mashahidi wa Yehova nao sio wakristo
The Four Cult Religion groups(These groups are not Christians)
Jehova Witness
Seventh Day Adventist
Mormon
Christian Scientology
 
Anaitwa prof walter j veith angalia Youtube lecture zake amefanya research kuhusu maelezo yote na source zote za vatican upapa na ujesuit na NWO agendas freemasons jinsi wanavyoshirikia katika kuhakikisha Uwongo unaaminiwa na wengi...
Lecture iliitwa Battle of the bible wanavyotaka kuichakachua biblia kwa kuleta tafsiri za kipagani na kichawi kwa kuhariri biblia ya king james version.
Asante kwa ufafanuzi murua.Mwenye hekima amekuelewa.
 
Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.

Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.

Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.
 
Nyie mnaotetea ukatoliki ndio mnaowekewa mdoli kanisan mnaambiwa ndio yesu mnaenda kumuangalia na kuweka sadaka! Jitambue Mungu hana dini
Ukizijua the Four Cult hutopata shida...

Sasa mada yenyewe imeletwa na mmoja ya cult nani wa kupoteza muda....

Tupoteze muda na takataka kama SDA, Mashahidi wa Yehova..? Acha utani bana..

The Four Cult Religion on Earth
Seventh Day Adventist
Mormon
Jehova Witness
Christian Scientology
 
Back
Top Bottom