Hivi ndivyo ninavyo ingiza kipato cha 30,000 kwa siku baada ya kubadili fikra zangu

Safi sana kwa kuiona fursa. Utapiga hatua kubwa sana ukiendelea na mentality hii

Everyone should be responsible 100%. These days kijana yoyote akiniomba hela (kupiga mzinga) simpi na badala yake namwambia aje home nimpe kazi ya kufanya ili atleast kumjengea disiplini ya kutumia fedha aliyoisotea kwa jasho lake mwenyewe
 
Nashukuru mkuu πŸ™ uko sahihi kabisa
 
Ni copywriting na sio copyright


 
ni dawa ya aina gani unayoitumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…