ora
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,198
- 1,128
nafikiri nia yako n kujua nani huyo DPHapana sina njaa,mimi sijafunga,huwa nafunga quaresma,hiyo ni tosha kwangu,ila wewe umeweka picha ya gabacholi kwenye avatar yako,kwa hiyo wewe ni gabacholi,kama siyo basi unawafagilia magabacholi,na ndio maana wamekujengea sanamu ya samaki anarusha maji,na wewe unachekelea he he heeeee jiji letu la mwanza TWAHILAGA MAMI.
huyo ni mimi mbona....
mbona sioni point zako