Hivyo tz ndivyo iwazavyo !!Ukiwa maskin lazima uwaze hivi[emoji3][emoji3]
low thinking capacity, huwez fikiria gari wkati kula shida.Dr. H. Rweyemamu angalia jina ndiyo ujue anaongea mtu wa aina gani
Wahaya bhanalow thinking capacity, huwez fikiria gari wkati kula shida.
Mbona jirani yangu ameviacha akarudi kwaoIv kweli ndo umeamkaa nawazo hili???,
, . .
sifa za kijingaUnajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama haya[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 516378
Au
View attachment 516379
Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380
Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...
Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381
Na
View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua
Dr. H. Rweyemamu
Kwahiyo kuwaza Gari ndio mawazo ya kitajiri? bora ninunue Farasi sio gari....Utakuwa maskini mpaka unakufa kama una mawazo ya kifukara kiasi hicho. Sasa hivi gari sio anasa ni hitaji la msingi la binadamu kamili wa kiume
Madaktari hawataki kupangiwa. Jamaa ana PhD sijui ?Iv kweli ndo umeamkaa nawazo hili???,
, . .