Hawa watu wanashida kweliTaifa Nation
hivi mtani tumegombana? mbona hujanipa kadi ya mwaliko?Ngoja nitafute popcorn kabisa.
Heaven Sent hivi wewe una gari?
Haya yote ni pale unapoolewa kwa sababu ya kutamani mali ilhali wewe ni Goalkeeper. Sasa unaona miaka ya ndoa inaenda huoni cha uwanja, tofali au Passo ni lazima uje kumsema mwenzio humu ndani.Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama hayaView attachment 516378
Au
View attachment 516379
Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380
Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...
Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381
Na
View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua
Dr. H. Rweyemamu
Mwenyewe nina langu Toyota Voltz unijie wanguwangu huna usafiri nakutimua upumbavu sitaki.
Huyo jamaa mmetoka kumoja?!hahahahaha
World war iv.....................
Kumbe we boda boda. Tena eti ya boss wako.
Pikipiki za waha hizo.
Za wanaume rijali ni kama
View attachment 516433


