Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,401
Jiulize kwanza aya
👉Unampenda kweli na yeye anakupenda kweli?
👉Moyo wako umeridhika kuwa nae?
👉Unafuraha kuwa nae? Ana furahia kuwa na wewe?
👉Anatimiza majukumu yake ipasavyo(ya kama mke na kama mama wa familia)?
👉Ana kuheshimu na ww una mheshim?
Kama majibu ni ndio bas Umri sio kigezo cha kuwatenganisha.
👉Unampenda kweli na yeye anakupenda kweli?
👉Moyo wako umeridhika kuwa nae?
👉Unafuraha kuwa nae? Ana furahia kuwa na wewe?
👉Anatimiza majukumu yake ipasavyo(ya kama mke na kama mama wa familia)?
👉Ana kuheshimu na ww una mheshim?
Kama majibu ni ndio bas Umri sio kigezo cha kuwatenganisha.