THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Wakuu Habarini za wakati Huu!
Naomba tujadili kidogo hili swala la Tofauti ya Ages kati ya wenza, inafahamika kwa tamaduni za Kiafrika Mara Nyingi Mwanaume ndio huwa na umri Mkubwa kuliko mwanamke.
Nowdays mambo yanabadilika inaanza kuwa kinyume kuna wanaume wanazidiwa na wanawake umri sa naomba kujua kiwastani Mwanaume anatakiwa kuzidiwa miaka mingapi?
#NOTE: This is very serious nikipata mawazo ya kuridhisha namuoa huyu Mumama😂
Naomba tujadili kidogo hili swala la Tofauti ya Ages kati ya wenza, inafahamika kwa tamaduni za Kiafrika Mara Nyingi Mwanaume ndio huwa na umri Mkubwa kuliko mwanamke.
Nowdays mambo yanabadilika inaanza kuwa kinyume kuna wanaume wanazidiwa na wanawake umri sa naomba kujua kiwastani Mwanaume anatakiwa kuzidiwa miaka mingapi?
#NOTE: This is very serious nikipata mawazo ya kuridhisha namuoa huyu Mumama😂