2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Kwanza kabisa tuwasikitikie vijana wote wanaodai ni wanaume huku wakilia kuachwa.
Inavyojulikana mwanaume haachwi bali anaacha au wanaachana na mke wake. Kwanini mwanaume hawezi kuachwa? Kwa sababu yeye ndio kichwa cha familia, uliwahi kuona tela likiacha kichwa nyuma? Hapana.
Tafsiri ya vijana wanaodai ni wanaume wanaolia lia kudai kuachwa maana yake yeye ndio alikuwa tegemezi, yani mkewe ndio alikuwa analisha familia, analipa kodi. N.K hapo lazma ulie kwa sababu huna option ingine sababu hujiwezi.
Mwanaume wa kweli hawezi kulia kama mkewe ataondoka nyumbani bali atasonga mbele sababu wanawake wenye shida ya kuolewa ni wengi kuliko wanaume wanaotaka kuoa. Sa unaanzaje kulia, kulalamika? Sokoni kuna mikato yote, kuna aina zote, umekosa kabisa? Ni aibu kwa vijana.
Inavyojulikana mwanaume haachwi bali anaacha au wanaachana na mke wake. Kwanini mwanaume hawezi kuachwa? Kwa sababu yeye ndio kichwa cha familia, uliwahi kuona tela likiacha kichwa nyuma? Hapana.
Tafsiri ya vijana wanaodai ni wanaume wanaolia lia kudai kuachwa maana yake yeye ndio alikuwa tegemezi, yani mkewe ndio alikuwa analisha familia, analipa kodi. N.K hapo lazma ulie kwa sababu huna option ingine sababu hujiwezi.
Mwanaume wa kweli hawezi kulia kama mkewe ataondoka nyumbani bali atasonga mbele sababu wanawake wenye shida ya kuolewa ni wengi kuliko wanaume wanaotaka kuoa. Sa unaanzaje kulia, kulalamika? Sokoni kuna mikato yote, kuna aina zote, umekosa kabisa? Ni aibu kwa vijana.