Hivi Mwanasheria Msomi Mabere Nyaucho Marando yuko wapi?

Hivi Mwanasheria Msomi Mabere Nyaucho Marando yuko wapi?

Mara ya mwisho nilimuona mahaka kuu kitengo cha ardhi akiwa dhaifu sana.

Mungu ampe afya njema ni moja ya wapambanaji, Hata msahau Mrema alipigana kumuondoa Mrema NCCR akachemka akajiunga chama la wana CHADEMA Nafikri atamilizia maisha yake ya uzee huko.
Kumbe bado yupo chamani!
 
Nimemkumbuka mwanasheria mahili, jasusi Nguli na mwanamageuzi maarufu ndugu Mabere Nyaucho Marando.

Nyakati kama hizi akiwa mwanachama wa Chadema alitoa tamko kuwa atatangaza matokeo ya Urais yeye binafsi akiwa Kama mwanasheria,ikiwa tume ya Uchaguzi itashindwa kufanya hivyo.

Yu wapi mtu huyu?

Misimamo yake ikoje kwa Hali ya Kisiasa ya Sasa.
 
Tundu Lissu ni Mabere Marando aliyechangamka. Hivyo usijali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom