TUTU wa Jijia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 727
- 566
Wasalaam,
Jamani anayejua aliko mwanasheria nguli Mabele Marando anijulishe. Siyo kawaida yake kukaa kimya muda wote ili hari tunajua uchapakazi wake katika masuala ya kutetea haki za wanyonge.
Napenda kujua kulikoni akae kimya kiasi hiki.
Jamani anayejua aliko mwanasheria nguli Mabele Marando anijulishe. Siyo kawaida yake kukaa kimya muda wote ili hari tunajua uchapakazi wake katika masuala ya kutetea haki za wanyonge.
Napenda kujua kulikoni akae kimya kiasi hiki.